Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Leo nimejitahidi ingawa kwa taabu sana kusikiliza Redio Iman. Yapo niliyojifunza na yapo niliyoyapotezea.
Kimsingi ndugu zetu wanaanzisha TV yao na gazeti lao (TV Iman & Gazeti Iman)
Hawana msaada toka kwa mzungu wala Mwarabu, ni wewe Mtanzania utakayefanikisha hilo.
Sasa, ukiwa kama Mtanzania Mzalendo, unaombwa mchango wako wa fedha ili kufanikisha uanzishwaji wa VYOMBO HIVYO MUHIMU kwa maendeleo ya taifa letu.
Wabilah TAWFIQ
Kimsingi ndugu zetu wanaanzisha TV yao na gazeti lao (TV Iman & Gazeti Iman)
Hawana msaada toka kwa mzungu wala Mwarabu, ni wewe Mtanzania utakayefanikisha hilo.
Sasa, ukiwa kama Mtanzania Mzalendo, unaombwa mchango wako wa fedha ili kufanikisha uanzishwaji wa VYOMBO HIVYO MUHIMU kwa maendeleo ya taifa letu.
Wabilah TAWFIQ