Ichangie CCMNipo kijijini nimeenda kwa Mw/kiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuna elfu moja yamchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi?
mwenye ujuzi anijuze
Ungemwambia tuu Unaliwa wewee😂😂😂😂😂Nipo kijijini nimeenda kwa Mw/kiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuna elfu moja yamchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi?
mwenye ujuzi anijuze