Mchango wa Mbunge Musukuma Bungeni umenifikirisha sana

Escrowseal1

JF-Expert Member
Dec 17, 2014
4,428
4,220
Hivi kama nchi tunatumia fikra za nani hasa? Nimesikitika kusikia mamlaka ikitetea uamuzi wa kuwakopesha watoto wa watumishi tu kupata masomo ya vyuo vya kati. Hivi tunafeli wapi kama nchi. Hiyo sera imeamriwa na nani hasa? Binafsi naamini duniani hakuna inayoitwa nchi inaweza kuamua hiyo sera ya ovyo kama hiyo.

Viongozi kama Nyerere wanaheshimika si kwa kufanya mazingaombwe ila ina base kusimamia maamuzi yanayojali utu kwa kila hali kuna maamuzi huwa ukiyatazama unashindwa kujua kuwa muamuzi anayo elimu japo ya QT.

I might be wrong ila nasubiri maoni ya wananchi wenzangu.
 
Mtumishi Kama Mahela au professor wa kinyesi cha ng'ombe kuua samaki ni masikini kuliko mama marytina kule kwa Muorombo mlima bustani.
Hawa watumishi wasomi hawatumii akili ndio maana wakopeshwe wawe na mawazo huru
 
Utakuwa umemnukuu vibaya
Pls nenda kamsikilize you tube . Wakati akitoa hoja, kuna waziri alisimama kutetea hoja kuwa watoto wa watumishi hawaingii mkataba bali wazazi wao ambao ni watumishi .haikumuingia akilini kuwa Msukuma anatetea discriminatory decision ya hovyo kwa age mate wa watoto wa wakulima na mamantilie
 
Back
Top Bottom