samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Kunaathari gani ya kuchelewa kuoa au kuolewa,umri kuanzia miaka35?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Athari zimetofautiana kati ya wanaume na wanawake....
Mwanamke
Wanaume...
- Kwanza tu kuolewa kama hujawahi olewa at that age kazi ipo.
- Uzazi kwa kweli unasumbua saana ukichelewa... imagine aolewe at age 35... mpaka ashike mimba azae maybe 37... Dah! huyo mtoto wa pili vipi at 40? hali wenzio hio age anaangalia suala la wajukuu...
- Mara nyingi wenzio wengi age hii wanakua tayari wapo kwenye ndoa... Hivo as much as kweli ni rafiki yao they don't consider you very close maana ham shey areas of interest.
- Pressure kutoka kwa wazazi na jamii kwa ujumla ambayo hupelekea usomwe vibaya.... Mfano: malaya, Mchambuzi saana hivo dharau na the like.
Madhara kwa woote wawili...
- Rafiki zako wa karibu waweza wapoteza for they do not trust you.. Mara nyingi for such a guy ina maana ni player...
- Pressure toka kwa ndugu wa karibu hasa wazazi ili uoe... na pia jamii kuanza kukuangalia kwa jicho la walakini hasa kama hua hawakuoni na mabinti...
- Saa ingine yaweza rudisha maendeleo nyuma... for ukiwa single you tend to have marafiki wengi... kujirusha bila mpangilio... Kuhonga too much and the like...
Maisha ya ndoa ni mpangilio... na tusidanganyane kua eti ndoa bila watoto katika jamii yetu hii mtaishi kwa furaha na amani ingawa kuna exceptions za hapa na pale... au nisema couple hii na ile. Ni vizuri saana kuzaa watoto mapema for it helps kuwasomesha hali mna nguvu za kutosha kiasi kwamba mpaka wanafika College they are more your friends than kuonekana kama vile almost wajukuu.... Ni vizuri saana kuwalea watoto kama marafiki and i have hio at first experience... for instead ya kusema binti yangu ningemzidi miaka 36/37 nimemzidi miaka 18... ina raha yake kwa kweli.....