Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
Jamani this is just "amaizing coincidence", Matangazo ya TBC yazimika ghafla wakati Mbunge wa Karatu, Dr. Wilbroad Slaa akiikandia serikali kwa hoja na nondo za kushiba, wakati akitoa maoni ya kambi ya Upinzani kwenye hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu.
Hii just amaizing coincident matangazo hayo ktokea kukatika wakati serikali inapokea michango nyundo, au kuchezea kichapo toka wachangiaji wa kambi ya upinzani, haswa wazungumzaji mahiri wanaochangia na data za kushiba na sio wabwabwajaji tuu.
Naendelea kuuita just amaising coincidence ili kurule out any conspiracy theories zinazowezxa kuibuka kwa msisitizo kuwa hitilafu ya mitambo huweza tokea wakati wowote haijalishi ni nani anayeongea.
Wenye access na Star TV, tujulisheni kama live ya Bunge inaendelea.
===============
UPDATE: 1
Kwa msaada wa Invisible tumepata nakala ya alichokuwa anaongea Dr. Slaa, angalia attachment chini
UPDATE:2
Kumbe waliokata matangazo sio TBC bali ni Kingamuzi kilicho kuwa kinayarusha. Walibahatika kuangalia TBC kupitia antena za kawaida, waliona Mwanzo-Mwisho- Samahani kwa usumbufu.
Hii just amaizing coincident matangazo hayo ktokea kukatika wakati serikali inapokea michango nyundo, au kuchezea kichapo toka wachangiaji wa kambi ya upinzani, haswa wazungumzaji mahiri wanaochangia na data za kushiba na sio wabwabwajaji tuu.
Naendelea kuuita just amaising coincidence ili kurule out any conspiracy theories zinazowezxa kuibuka kwa msisitizo kuwa hitilafu ya mitambo huweza tokea wakati wowote haijalishi ni nani anayeongea.
Wenye access na Star TV, tujulisheni kama live ya Bunge inaendelea.
===============
UPDATE: 1
Kwa msaada wa Invisible tumepata nakala ya alichokuwa anaongea Dr. Slaa, angalia attachment chini
UPDATE:2
Kumbe waliokata matangazo sio TBC bali ni Kingamuzi kilicho kuwa kinayarusha. Walibahatika kuangalia TBC kupitia antena za kawaida, waliona Mwanzo-Mwisho- Samahani kwa usumbufu.