Mchango wa CHADEMA: Mawaziri Prof Kitila, Silinde, Dr Mollel, Waitara, Katambi na Gekul yule Shonza amefeli!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,897
141,835
Kiukweli Chadema wana mchango wa kutosha katika serikali yetu na hasa katika level ya uwaziri.

Mawaziri wafuatao wamewahi kutumika pale Ufipa katika level tofauti za uongozi kwa nyakati tofauti tofauti.

1. Prof Kitila Mkumbo

2. Mh Pauline Gekui

3. Mh Patrobas Katambi

4. Dr Godwin Mollel

5. Mh Mwita Waitara

6 Mh David Silinde

Ni vema vijana wa CCM mnapoibeza Chadema msisahau huu mchango wao mkubwa kwenye utumishi wa Umma.

Nasisitiza; Maendeleo hayana vyama!
 
Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
 
Kiukweli Chadema wana mchango wa kutosha katika serikali yetu na hasa katika level ya uwaziri.

Mawaziri wafuatao wamewahi kutumika pale Ufipa katika level tofauti za uongozi kwa nyakati tofauti tofauti.

1. Prof Kitila Mkumbo

2. Mh Pauline Gekui

3. Mh Patrobas Katambi

4. Dr Godwin Mollel

5. Mh Mwita Waitara

6 Mh David Silinde

Ni vema vijana wa CCM mnapoibeza Chadema msisahau huu mchango wao mkubwa kwenye utumishi wa Umma.

Nasisitiza; Maendeleo hayana vyama!
Samtaimz usaliti 'unalipa'!
 
Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Huyo Pascal ni kichefuchefu tu,anaongea sana mpaka mate yanakauka ila bila bila
 
Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Eti pascall njaa dah !!
 
Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?

Pascal Njaa labda atakumbukwa katika nafasi za Wakuu wa Wilaya au Mtendaji wa Kata.😂😂😂
 
Kiukweli Chadema wana mchango wa kutosha katika serikali yetu na hasa katika level ya uwaziri.

Mawaziri wafuatao wamewahi kutumika pale Ufipa katika level tofauti za uongozi kwa nyakati tofauti tofauti.

1. Prof Kitila Mkumbo

2. Mh Pauline Gekui

3. Mh Patrobas Katambi

4. Dr Godwin Mollel

5. Mh Mwita Waitara

6 Mh David Silinde

Ni vema vijana wa CCM mnapoibeza Chadema msisahau huu mchango wao mkubwa kwenye utumishi wa Umma.

Nasisitiza; Maendeleo hayana vyama!
Chadema ni kama Adrenal,
Mbowe ni kama Wenge anatengeneza vipaji vinavtoilazimu sisem kukomba account yao bank kuvinunua.
Sasa hivi wamekabwa koo na wanawake wa shoka hawajui wameze au watapike.
Ila kwa hii covid19 wameingia kwenye18 ya Chadema.
 
Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Hahahaaaa....... Endelea kukariri bwashee!
 
Back
Top Bottom