Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Napenda kusema , kume kuwa na tuhuma nyingi , dhidi ya uendeshaji wa kesi inayo mtuhumu babu Seya na mwanawe kuwa hakukuwa na uangalizi mzuri kwnye ushahidi ,kitu ambacho kimepelekea wako kukataliwa rufani yao.
Nimetoka kuangalia blog moja na imeoneysha ile barua ambayo Papii Kocha kamwandikia Mheshimiwa raisi ili aweze pata msamaha.
Kilicho nishangaza watu wengi wana toa maoni kwa kuweka hisia kuwa kijana kaonewa na baadhi ya tuhumu sinaelekezwa kwa Mkuu (habari za Mitaani) kua yeye ndio kasababisha wao kufungwa.
Kwa kwlei imenikera sana hizo tuuma kwa sababu ukisoma ile hukumu na kusoma ushahidi ulio tolewa unaonyesha uhatia wa huyu babu seya na mwanaye waziwazi na still bado watu wanatoa maoni kuwa ni wameonewa, sasa sijui hi ni kwasababu wao wanapiga mziki mzuri au ni kwa ushahidi upi.
Kwa wote walioguswa na hili , mbona kazi ni rahisi, kwanini msiungane wote mkafanya harambee mkachanga hayo mamillioni yenu na mka tafuta lawyer ambaye labda toka nje ya nchi kwa tasisi zinazo eleweka kwa ubbobeaji wa uchunguzi ili waweze review hii kesi? maana tume choshwa na hizi tuuma kila siku eti wameonewa na kumfanya raisi wetu ni mjinga na anahangaika na ujinga huu wakufunga watu na eti kulipizana kisasi.
Asante!
Nimetoka kuangalia blog moja na imeoneysha ile barua ambayo Papii Kocha kamwandikia Mheshimiwa raisi ili aweze pata msamaha.
Kilicho nishangaza watu wengi wana toa maoni kwa kuweka hisia kuwa kijana kaonewa na baadhi ya tuhumu sinaelekezwa kwa Mkuu (habari za Mitaani) kua yeye ndio kasababisha wao kufungwa.
Kwa kwlei imenikera sana hizo tuuma kwa sababu ukisoma ile hukumu na kusoma ushahidi ulio tolewa unaonyesha uhatia wa huyu babu seya na mwanaye waziwazi na still bado watu wanatoa maoni kuwa ni wameonewa, sasa sijui hi ni kwasababu wao wanapiga mziki mzuri au ni kwa ushahidi upi.
Kwa wote walioguswa na hili , mbona kazi ni rahisi, kwanini msiungane wote mkafanya harambee mkachanga hayo mamillioni yenu na mka tafuta lawyer ambaye labda toka nje ya nchi kwa tasisi zinazo eleweka kwa ubbobeaji wa uchunguzi ili waweze review hii kesi? maana tume choshwa na hizi tuuma kila siku eti wameonewa na kumfanya raisi wetu ni mjinga na anahangaika na ujinga huu wakufunga watu na eti kulipizana kisasi.
Asante!