Mi Corazon
Senior Member
- Oct 16, 2018
- 162
- 247
Iko njiani hio
You are crazy khaaa
Iko njiani hio
Kwa hyo CCM haiwahusu hi Kodi mkuuKama una kadi ya chama, peleka pale TRA wanakuondolea tozo. Tumekopa 2.7t kwaajili ya barabara na elimu, hivyo kuna msamaha wa tozo kwa wenye kadi ambapo kimsingi mkopo utafidia.
Wamesema mwenye nyumba apeleke Luku hizo ziingizwe kwenye luku moja. Hakafu wapangaji hamtakiwi kulipa hii ni ya mwenye nyumba. Akigoma nendeni TRA(ila mnaweza kufukuzwa kwenye hio nyumba ha ha ha ha)
Hyo Kodi ni inakatwa mara Moja ndani ya mwezi sio Kila ukinunua
Kwa mwezi lazima buku. Hivyo ukinunua ememe wa buku tano maramoja buku ya mwezi lazima ikatwe. Baadae hukatwi tena mpaka mwezi unaofuata.Hyo Kodi ni inakatwa mara Moja ndani ya mwezi sio Kila ukinunua
So.kama.una mita 10 utalipa 120,000 kwa jengo moja?Mita zote zitalipiwa separately
Hapa watakata kila luku mpaka ulalamike na.bado wataleta zengwe.Kuna jengo Lina Vyumba vya maduka zaidi ya 10 na kila chumba kina mita yake.
Hata mimi najiuliza maswali kama hayoSo.kama.una mita 10 utalipa 120,000 kwa jengo moja?
Vipi wanaoishi nyumba zaserekali nao wanalipia kodi ya pango. Kama ndio mbona awali hawakua wanalipa?... je wale wenye visima vya maji vya jumuiya wamefunga luku nao watalipia kodi ya jengo?
Wanakata 18% ya 1000Wale wa kununua umeme wa buku buku itakuaje sasa?????
Ukinunua Umeme utalipia Kodi nne:
1. VAT - 18%
2. Ewura - 3%
3. REA - 1%
4. Kodi ya Jengo (Tsh 1000- Tsh 5000)
Awamu ya sita, tozo ziendelee!
Hivi kwa nini Ewura wanakata asilimia 3 wakati wao wanayo makato mengi mengi? Umeme, maji, mafuta sijui na yapi mengine.Ukinunua Umeme utalipia Kodi nne:
1. VAT - 18%
2. Ewura - 3%
3. REA - 1%
4. Kodi ya Jengo (Tsh 1000- Tsh 5000)
Awamu ya sita, tozo ziendelee!