jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
- Thread starter
- #41
Ukakasi wangu uko hapa tu...kwamba maelezo ya TMAA NI KWA HISANI YA MINER....Hahaha hahaha haha ha...na ndio maana nasema huyu miner aliamua kubatiza jina baya ule mchanga wa madini ili autoe kirahisi na akapige hela na kukwepa kodi.Ndo maana nilikuuliza ulisoma Ripoti ya TMAA au kwavile JPM kasema ndo basi tena?! Sehemu ya ile ripoti hivi ndivyo inavyosema:
View attachment 514292
Hapa tena wanaendelea:
View attachment 514298
Kwahiyo badala ya kudanganya kwamba walikuwa wana-ignore uwepo wa metals zingine, hoja iwe kwanini hizo metals zingine other than gold, silve and copper zilikuwa zinafanywa mali ya smelters owners!!
Hapa chini wanaweka takwimu za major products:
View attachment 514299
Halafu unahoji:Are you seriously asking this question?!
Wewe unadhani ordinary economist anaweza ku-evaluate viability of smelting plants?
Au hufahamu kwamba kuna kitu kinaitwa Mining Economics na hawa Mining Economists ndio wenye uwezo wa kufanya analysis kama hizo na sio ordinary economist ambae probably amebobea kwenye macro- or microeconomics, or Business Economics, or International Trade au hata labda Agricultral Economics!!!!!!
But NOTE, neno viable ukilileta kwenye Kiswahili moja kwa moja lazima utapotosha tu! Kwa mfano unasema: "...smelter haingekuwa na faida kwa uchumi!"
TMAA hawakusema kitu kama hicho kwenye ripoti yao yote! Title of Study ilikuwa: A Study on Viability to Construct a Copper Concentrate Smelter in Tanzania.
Descrption yake inasema: Hakuna popote waliposema NOT PROFITABLE but not economically viable.
Tukichukua mfano huu huu wa copper concentrates tunaweza kuweka 2 alternatives ambapo miner atatakiwa kuchagua mojawapo!
Alternative 1; Miner anajenga smelter hapa hapa Tanzania. Akishafanya smelting na kutoa gharama zote, at the end anapata FAIDA, (say) ya $100 kwa kila tani moja.
Alternative 2 ni pale Miner anapoamua ku-export hiyo concentrates. Akitoa gharama zote through this process, let's anabaki na $105/ton.
Hapo Miner atakuambia it's not ECONOMICALLY VIABLE kujenga smelter Tanzania in exchange of exporting kwa sababu, hatua hiyo itamfanya apoteze $5 lakini sio kwamba atapata hasara!!!!
Remember, huyu ni mwekezaji ambae main goal ni ku-maximize profit! The guy has no interest na ajira ambazo zingepatikana kwa sababu, hizo ajira kwake ni additional COST!!!