Mchanga wa madini kuitwa copper concentrate ilikuwa ni hujuma ya kutuibia

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,052
28,242
Hawa jamaa ni wajanja sana ingawa ni waongo na njia ya muongo ni fupi sana.

Nina uhakika kuwa kwa asilimia zaidi ya 100 kwamba wamiliki na wachimbaji tuliowakabidhi migodi yetu walijuwa fika kuwa hapo chini ya ardhi kuna aina gani za madini hata kabla ya kuanza kuchimba pia nina uhakika wakati wa mchakato wa uchimbaji makampuni haya yaliweza kugundua uwepo wa madini mengine ambayo ni wazi yanauzika kibiashara.

Ni aibu kwa Mchanga huu kuitwa copper concentrate na kuignore the fact kwamba kuna madini mengine muhimu na yenye uhitaji na bei nzuri tu huko duniani.

Mbaya zaidi hata sasa ACACIA wanataka kutuhadaa kuwa kilichopo kwenye hiyo copper concentrate hakina thamani ukiondoa copper, silver na gold.

Yaani ACACIA wanatufanya watoto wasiojielewa na wapuuzi wa hali ya juu.

Kumbukumbu zinaonesha kuwa hata TMAA walishawahi kuufahamu uwepo wa madini hayo mengine ingawa walibakia kwenye kuamini ripoti za wenye makampuni kuwa mchanga huu ni copper concentrate tu.

Inakuwaje ACACIA waseme madini kama Rhodium (mtanisahihisha) yaliyokutwa kwenye mchanga wanaouita copper concentrate sio comercially valuable?

Kwa wenye kuchimba zaidi tufuatilie uhitaji na thamani ya haya madini kwa jina la madini ya kundi la platinum ambayo ACACIA walificha kuyataja na mpaka sasa hawataki kukubali kwamba yana thamani na yanatakiwa kulipiwa kodi.

Facts About Rhodium
 
Ni kweli kuna madini mengi katika viwango vidogovidogo, na ni hasara kununua mtambo wa kuyachenjua.
Tumsubiri magu anunue mtambo utakaogharimu bilioni kumi kwa mwezi ili kupata madini ya bilioni 2, maana sidhani kama tuna umeme utakaokidhi mahitaji ya smelter na treni ya sgr. Ameshakuwa na bashite brain huyu rais wetu.
 
Ni kweli kuna madini mengi katika viwango vidogovidogo, na ni hasara kununua mtambo wa kuyachenjua.
Tumsubiri magu anunue mtambo utakaogharimu bilioni kumi kwa mwezi ili kupata madini ya bilioni 2, maana sidhani kama tuna umeme utakaokidhi mahitaji ya smelter na treni ya sgr. Ameshakuwa na bashite brain huyu rais wetu.
Hiyo ndio sumu uliolishwa na hao wezi...nenda ukasome...kasome ....
Smelter ni sh ngapi na inahitaji umeme kiasi gani na yanapopatikana hayo madini yana thamani gani?
Someni msilishwe maneno....
 
Hiyo ndio sumu uliolishwa na hao wezi...nenda ukasome...kasome ....
Smelter ni sh ngapi na inahitaji umeme kiasi gani na yanapopatikana hayo madini yana thamani gani?
Someni msilishwe maneno....
In order to construct a viable smelter in Tanzania, it would require importing 60% of Copper Concentrate to feed the smelter, or Tanzania would have to increase its own production of Copper Concentrate through the development of more mines, and of similar production technology. However, there are currently no known copper sulphide deposits in Tanzania, which would add significantly to the Copper Concentrate requirements to feed the smelter to be constructed.

The study concludes that it is currently not feasible for a Copper Concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate produced by BGM and BZGM. However, investors are encouraged to explore more on possibilities of discovering copper deposits which will warrant for installation of a Copper Concentrate smelter in the Country.

Source:
http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
 
Hawa jamaa ni wajanja sana ingawa ni waongo na njia ya muongo ni fupi sana.

Nina uhakika kuwa kwa asilimia zaidi ya 100 kwamba wamiliki na wachimbaji tuliowakabidhi migodi yetu walijuwa fika kuwa hapo chini ya ardhi kuna aina gani za madini hata kabla ya kuanza kuchimba pia nina uhakika wakati wa mchakato wa uchimbaji makampuni haya yaliweza kugundua uwepo wa madini mengine ambayo ni wazi yanauzika kibiashara.

Ni aibu kwa Mchanga huu kuitwa copper concentrate na kuignore the fact kwamba kuna madini mengine muhimu na yenye uhitaji na bei nzuri tu huko duniani.

Mbaya zaidi hata sasa ACACIA wanataka kutuhadaa kuwa kilichopo kwenye hiyo copper concentrate hakina thamani ukiondoa copper, silver na gold.

Yaani ACACIA wanatufanya watoto wasiojielewa na wapuuzi wa hali ya juu.

Kumbukumbu zinaonesha kuwa hata TMAA walishawahi kuufahamu uwepo wa madini hayo mengine ingawa walibakia kwenye kuamini ripoti za wenye makampuni kuwa mchanga huu ni copper concentrate tu.

Inakuwaje ACACIA waseme madini kama Rhodium (mtanisahihisha) yaliyokutwa kwenye mchanga wanaouita copper concentrate sio comercially valuable?

Kwa wenye kuchimba zaidi tufuatilie uhitaji na thamani ya haya madini kwa jina la madini ya kundi la platinum ambayo ACACIA walificha kuyataja na mpaka sasa hawataki kukubali kwamba yana thamani na yanatakiwa kulipiwa kodi.

Kwa nini mgodi wa Bulyakulu mawanzoni kabla kuanza kuchimbwa uliitwo Chorcolate Reef ?
 
In order to construct a viable smelter in Tanzania, it would require importing 60% of Copper Concentrate to feed the smelter, or Tanzania would have to increase its own production of Copper Concentrate through the development of more mines, and of similar production technology. However, there are currently no known copper sulphide deposits in Tanzania, which would add significantly to the Copper Concentrate requirements to feed the smelter to be constructed.

Source:
http://www.tmaa.go.tz/uploads/A_Stu...a_Copper_Concentrate_Smelter_in_Tanzania1.pdf
Hiyo ndio ile study iliyotudanganya.???
Ukipigia mahesabu ya smelter kwa ajili ya copper concentrate utakuja na majibu hayo ....Je ukipigia mahesabu kwa smelter ya "metal" smelter utakuja na conclusion gani?
Hivi katika ulimwengu wa leo hatuwezi kutengenezewa smelter ya kiwango cha 60000 tons za copper concentrate?


ndio maana hata TMAA ni sehemu ya tatizo ...kwa kukosa weledi na kwa kuhongwa.

Kwenye hiyo link uliyoiweka utaona rejea ya TMAA ni hao hao waongo wa BZG....What do you expect???
 
Hivi ndugu unafahamu maana ya copper concentrate au unaongea tu?! Kumbe kama sio copper concentrate, ulitaka uitwaje wakati hata Ripoti ya JPM jana imeonesha kwenye mchango ule, percentage copper composition ni kubwa maradufu kulinganisha na gold!!!!
 
Hiyo ndio ile study iliyotudanganya.???
Ukipigia mahesabu ya smelter kwa ajili ya copper concentrate utakuja na majibu hayo ....Je ukipigia mahesabu kwa smelter ya "metal" smelter utakuja na conclusion gani?
Hivi katika ulimwengu wa leo hatuwezi kutengenezewa smelter ya kiwango cha 60000 tons za copper concentrate?


ndio maana hata TMAA ni sehemu ya tatizo ...kwa kukosa weledi na kwa kuhongwa.

Kwenye hiyo link uliyoiweka utaona rejea ya TMAA ni hao hao waongo wa BZG....What do you expect???
Umeisoma ripoti ya TMAA?! TMAA walichosema ili kuwa na economically viable plant basi unatakiwa kuzalisha around 100K to 150K of concentrates annually!!

Nini maana ya economically viable?!

Mtu anaposema not economically viable haimaanishi ukifanya project husika utapata loss lakini anachosema, hata kama utapata faida, bado kuna better option for more profit than the suggested alternative!!!
 
Hawa jamaa ni wajanja sana ingawa ni waongo na njia ya muongo ni fupi sana.

Nina uhakika kuwa kwa asilimia zaidi ya 100 kwamba wamiliki na wachimbaji tuliowakabidhi migodi yetu walijuwa fika kuwa hapo chini ya ardhi kuna aina gani za madini hata kabla ya kuanza kuchimba pia nina uhakika wakati wa mchakato wa uchimbaji makampuni haya yaliweza kugundua uwepo wa madini mengine ambayo ni wazi yanauzika kibiashara.

Ni aibu kwa Mchanga huu kuitwa copper concentrate na kuignore the fact kwamba kuna madini mengine muhimu na yenye uhitaji na bei nzuri tu huko duniani.

Mbaya zaidi hata sasa ACACIA wanataka kutuhadaa kuwa kilichopo kwenye hiyo copper concentrate hakina thamani ukiondoa copper, silver na gold.

Yaani ACACIA wanatufanya watoto wasiojielewa na wapuuzi wa hali ya juu.

Kumbukumbu zinaonesha kuwa hata TMAA walishawahi kuufahamu uwepo wa madini hayo mengine ingawa walibakia kwenye kuamini ripoti za wenye makampuni kuwa mchanga huu ni copper concentrate tu.

Inakuwaje ACACIA waseme madini kama Rhodium (mtanisahihisha) yaliyokutwa kwenye mchanga wanaouita copper concentrate sio comercially valuable?

Kwa wenye kuchimba zaidi tufuatilie uhitaji na thamani ya haya madini kwa jina la madini ya kundi la platinum ambayo ACACIA walificha kuyataja na mpaka sasa hawataki kukubali kwamba yana thamani na yanatakiwa kulipiwa kodi.

Facts About Rhodium
Yaani Rhodium ata Nusu kilo deal da! Also is used to make bombadier
aircraft spark plugs
 
Umeisoma ripoti ya TMAA?! TMAA walichosema ili kuwa na economically viable plant basi unatakiwa kuzalisha around 100K to 150K of concentrates annually!!

Nini maana ya economically viable?!

Mtu anaposema not economically viable haimaanishi ukifanya project husika utapata loss lakini anachosema, hata kama utapata faida, bado kuna better option for more profit than the suggested alternative!!!
Conclusion yao kwa nini ili-ignore fact kwamba kuna uwepo wa metals nyingine ...kwa nini haikueleza mustakabali wa metals nyingine??

Je TMAA walikuwa na utaalamu wa kiuchumi kuwa kwenye nafasi ya kuconclude kuwa na smelter haingekuwa na faida kwa uchumi ??
 
Unajua nani aliingia nao mikataba? Akitokea chama gani? Na je unajuwa kuwa ni alumni wa Harvard? Ukijibu haya basi utakuwa umejitendea haki wewe mwenyewe!
Hatujafikia kwenye kujadili mkataba mkuu...tusubiri tume yenye wanasheria..
.

Hapa tunaongelea uongo na udanganyifu uliofanywa na hawa wezi....hizo siasa muachie lissu
 
Kwa vile ripoti ya kamati ya kwanza ya rais inaonyesha kuna dhahabu mara kumi zaidi ya ile ambayo wanatangaza acacia mimi namshauri acacia ampe makontena yote yalimpa majibu rais na alete hizo dhahabu na madini mengine kama walivyopata kwenye uchunguzi

hapo ndo tutachujua acacia mwizi au maprofesa wetu wametudanganya
 
Back
Top Bottom