Mchanga wa madini kuchelewesha ajira mpya, kupanda madaraja nyongeza mishahara

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,970
2,184
wakuu

waswahili walisema, mbaazi ikikosa jua huzingizia jua

hii naweza kuifananisha na yaliyotokea na yanayoendelea hapa nchini hususani katika suala la maslahi ya watumishi wa umma kuwapandisha madaraja, nyoongeza ya mishahara na kutoa ajira mpya kwa wasomi wa nchi hii

inasemekana kuwa shughuli zote zitasitishwa mpaka hapo litakapotatuliwa suala la makinikia, huu mchanga wa madini imebainika ndio itakua chanzo kikubwa cha maslahi ya umma hivyo serkali imeamua kulipigania hili ili iweze kuboresha maslahi ya watumishi kwa kiwango kikubwa, pia kutoa ajira kwa vijana

watumishi na watanzania wengine tumuunge rais mkono afanikiwe katika hili na tuwe wavumilivu
 
Kama ndo hivi tu,twafa,,,suala lenyewewe utatuzi wake siyo Leo Wala Kesho,tusubirie badget za miaka ya uchaguzi.
 
Strategic leader anawachukua raia anawapelekaa halafu anawaacha dilema.
Sihasa si kitu ya kisport-sport etiii
 
Msihofu, nasikia kuna malipo ya karibu trillion 200 yanakuja! Pesa ambayo hata kama angekuwa anadaiwa Bill Gates, angelazimika kuuza mali zake zooooooote ndipo angepata uwezo wa kuzilipa!!!

Tukishalipwa hayo matrillion, mtaajiriwa na mshahara mara 3 ya ile ya kawaidaa!
 
wakuu

waswahili walisema, mbaazi ikikosa jua huzingizia jua

hii naweza kuifananisha na yaliyotokea na yanayoendelea hapa nchini hususani katika suala la maslahi ya watumishi wa umma kuwapandisha madaraja, nyoongeza ya mishahara na kutoa ajira mpya kwa wasomi wa nchi hii

inasemekana kuwa shughuli zote zitasitishwa mpaka hapo litakapotatuliwa suala la makinikia, huu mchanga wa madini imebainika ndio itakua chanzo kikubwa cha maslahi ya umma hivyo serkali imeamua kulipigania hili ili iweze kuboresha maslahi ya watumishi kwa kiwango kikubwa, pia kutoa ajira kwa vijana

watumishi na watanzania wengine tumuunge rais mkono afanikiwe katika hili na tuwe wavumilivu
Mbna uku kwetu ajira zmetangazwa na jana watu wameingia kwenye interview
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom