Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
Pale ambapo mtu anakosa kazi ya kufanya
Pale ambapo ukiandika sanamwisho unakosa mbinu za kuendelea
Pale ambapo akili inapo stuck na kufika mwisho
Au pale ambapo unaona kazi ya kuisaidia jamii imaeisha auhakuna lingine la kufanya
Mtu huyu kutoka sehemu Fulani analeta jambo zuri la kuliwazana kufanya watu waanglie huko!!
Inakuwa kama mko vitani au mahali Fulani mmechoka halafumnatafuta kitu cha kuwafurahisha, mngaaliana na kusema tuvute kamba! Au tukimbizekuku! Ili mradi mcheke
Ila nikiangalia jamii ya watanzania, jamii iliyokosauzalendo na akili za kupumbazwa na kufuata mkumbo, jamii ambayo wengi waohawajajitambua……nakuangalia wewe kwa jicho la pembeni..umeridhika na nini??
CCM wao chini ya Kikwete wamefanya/wanafanya haya ya kijingasana
- vazi la taifa
- sherehe ya miaka 50
- kuunda unda tume za kila siku
- na kuongea na wazee issue za madaktari
na upumbavu mwingi usioweza kuelezeka hapa!!!!
Ccm wanafanya kama viletumeishafika, tumeeendela. We are modern people living in first world..lakiniukweli ni UTOPIA tu
Mr. Superman what makes you different from those ccm acts?? Yaanitofauti ya matendo yenu na mitazamo yenu ni nini katika hili shindano
Nilikaa kimya nikitaka kujua mwisho wa shindano ili ninini?? Eti mchambuzi awe na tabia nzuri na mnaweza kumpokonya huo ubingwa!!!You have ranked people, you have categorized people.
We are all equal in JF!
Peleka hii chit chat au jukwaa la mapenzi not at this arenaof GT
You are simply the best buddy!
Duuu!! Hii inakuwa kama ile stori ya Mmasai kaingia disco na Sime pamoja na Rungu.
Du!!
Mtu akiwa radical huwa namheshimu hata kama sikubaliani naye. But this one is not "Radical"....it's simply Ridiculous!!
Kwa mara ya kwanza toka nizaliwe nime-like post ya Ritz.
Back to TOPIC.... Hongera sana MP Mchambuzi! You deserved it. In boxing we'd say "By unanimous decision..."