Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Inever expected to hear this from someone I built so much respect in JF! Nooo,this cannot be true. And if it is, honestly time is changing so are peoplesmind.
2009 you was there
2010 you was there
and this is 2011
Kuna vitu nilitaka niandike hapa, lakini najizuia kwa heshima niliyojenga juuyako.
Not that I am not good in keyboard, but what u may feel, u will feel so bad.
Heshima ni kitu cha bure, so let us respect each other. Lakini kama una hoja,tushuindane kwa hoja.
kwani kutoa maoni si ni demokrasia nayo?
vitisho vya nn tena baada ya mm kutoa maoni?
usipoelezwa na mm nani atakueleza?
mm sitaki heshima humu acha kujificha kwenye hii terminology
Hujaona hoja yakujibu hapo??