GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
"Katika dirisha hili dogo Simba SC wamesajili vyema na kiufundi kuliko Yanga SC," Wilson Oruma Mchambuzi wa Michezo EFM na Rais wa Wapanda DalaDala (Bayankata) Tanzania nzima.
Chanzo: EFM Sports Headquarters dakika chache zilizopita.
Ombi langu kuu GENTAMYCINE kwa Serikali yangu ni Kujenga chuo maalum cha kupika Wachambuzi bora na mahiri wa Michezo (hasa Soka) kwa Tanzania ili tuondokane na Wachambuzi wabahatishaji na wacheza kamari tulionao kwa sasa Tanzania.
Chanzo: EFM Sports Headquarters dakika chache zilizopita.
Ombi langu kuu GENTAMYCINE kwa Serikali yangu ni Kujenga chuo maalum cha kupika Wachambuzi bora na mahiri wa Michezo (hasa Soka) kwa Tanzania ili tuondokane na Wachambuzi wabahatishaji na wacheza kamari tulionao kwa sasa Tanzania.