Ungejua usemacho wala usingeandika hivi. Wanaochagua wabunge wa EAC ni bunge zima, sasa jiulize wengi ni wapi ndani ya bunge? Wanao amua hapa nani awe mbunge ni CCM
CCM wameishaamua kuwa watampa Mbatia wa NCCR mageuzi; hata siku moja hawatampigia mgombea wa Chadema!