Wajameni mpaka sasa mchakato huo upo (a track to senthood), kama mtakavyokumbuka mchakato huu ulianzia kwenye jimbo kuu la Msoma chini ya Mhashamu Justini baba askofu Samba ambaye ni marehemu miaka kadhaa huko nyuma.
Ingekuwa madaraja hayo mawili yanatolewa na vikao vya CCM Mwl Nyerere angaisha kuwa mtakatifu siku nyingi ila bahati mbaya madaraja hayo yanatolewa na vikao vizito mjini Vaticani na hatimae kutangazwa na Baba Mtakatifu aliyeko madarakani, (rejeeni tangazo la papa kuhusu Sista Tereza wa Calcuta na Papa John Poul wa 2 kuwa watakatifu siku za hivi karibuni).
Vikao hivyo havidanganyi wala havidanganyiki na wala havihongeki. Hatua ilipofikia ni vikao hivyo vimedai mashahuda wapeleke muujuzi mmoja ambao candidate kautenda , ingalao muujiza mmoja tu katika ngazi ya daraja la uenyeheri.
Vikao hivyo vimeendelea kudai na kupokea miujiza (miracles) ambayo mashuhuda watawajibika kuthibitisha marehemu kawatendea iwe walikuwa wanaumwa ugonjwa usiotibika wameomba kwa mungu kupitia kwa marehemu wamepona au miujiza mingine ambayo vikao vitathibitisha pasiposhaka marehemu ametenda ndo hapo candidate ata-qualify kupata dajaja la uenyeheri hatua ya kwanza kwenda kwenye utakatifu. Kuwa mtakatifu maana yake nini? Maana yake marehemu amefanikiwa kupita kwenye tundu la sindano kama ngamia na sasa anaishi peponi. Miujiza atayotenda ni ishara kwamba yuko karibu na mungu na yule anayeomba atendewe muujiza basi ni suala tu la yeye kumwomba mungu amsaidie mwombaji si wako wote peponi wanaishi pamoja?
Ugumu wa miujiza hii ni matendo ya marehemu wakati alipokuwa duniani, lazima marehemu aishi maisha ya kumpendeza mungu kwa kufuata kikamilifu amri zake kumi zile alizompa Musa.
Sasa marehemu ana vikwazo vikubwa kama vitatu hivi ni kimoja tu nitakitaja ambacho ni marehemu alitangaza vita vya kagera vingine viwili siwezi kuvisema ila kama wewe ni Mroma uliyebobea utavijua tu.
Tangu mchakato umeanzishwa mashuhuda wamepeleka miujiza mitatu na yote imepanguliwa vikali nia vikao husika,
Shuhuda wa kwanza alisema yeye aliomba Marehemu Mandela asife mpaka birthday yake ya 94 ipite na kweli mzee yule alipitiliza, muujiza huo ulikataliwa kwa sababu hauthibitiki.
Shuhuda mwingine alisema siku ya mazishi ya Mwl Nyerere kulikuwa na mvua za rasharasha pia muujiza huo ulikataliwa.
Shududa wa tatu alisema kuna mti uko Tanga umetengeneza kama picha ya umbo kama kichwa cha mwl Nyerere pia muujiza huo umekataliwa maana laiti ungekuwa Butiama pale mwitongo ingalao ungefikiriwa.
Mchakato unaendelea miujiza zaidi inatakiwa kupelekwa na mashuhuda kupitia vigango, parokia na majimbo yao kwa njia ya kitubio, endeleeni kupeleka pamoja na vikwazo ambavyo candidate wetu mpendwa anavyo lakini msikate tama.
Tumsifu Yesu Kristo.
Ingekuwa madaraja hayo mawili yanatolewa na vikao vya CCM Mwl Nyerere angaisha kuwa mtakatifu siku nyingi ila bahati mbaya madaraja hayo yanatolewa na vikao vizito mjini Vaticani na hatimae kutangazwa na Baba Mtakatifu aliyeko madarakani, (rejeeni tangazo la papa kuhusu Sista Tereza wa Calcuta na Papa John Poul wa 2 kuwa watakatifu siku za hivi karibuni).
Vikao hivyo havidanganyi wala havidanganyiki na wala havihongeki. Hatua ilipofikia ni vikao hivyo vimedai mashahuda wapeleke muujuzi mmoja ambao candidate kautenda , ingalao muujiza mmoja tu katika ngazi ya daraja la uenyeheri.
Vikao hivyo vimeendelea kudai na kupokea miujiza (miracles) ambayo mashuhuda watawajibika kuthibitisha marehemu kawatendea iwe walikuwa wanaumwa ugonjwa usiotibika wameomba kwa mungu kupitia kwa marehemu wamepona au miujiza mingine ambayo vikao vitathibitisha pasiposhaka marehemu ametenda ndo hapo candidate ata-qualify kupata dajaja la uenyeheri hatua ya kwanza kwenda kwenye utakatifu. Kuwa mtakatifu maana yake nini? Maana yake marehemu amefanikiwa kupita kwenye tundu la sindano kama ngamia na sasa anaishi peponi. Miujiza atayotenda ni ishara kwamba yuko karibu na mungu na yule anayeomba atendewe muujiza basi ni suala tu la yeye kumwomba mungu amsaidie mwombaji si wako wote peponi wanaishi pamoja?
Ugumu wa miujiza hii ni matendo ya marehemu wakati alipokuwa duniani, lazima marehemu aishi maisha ya kumpendeza mungu kwa kufuata kikamilifu amri zake kumi zile alizompa Musa.
Sasa marehemu ana vikwazo vikubwa kama vitatu hivi ni kimoja tu nitakitaja ambacho ni marehemu alitangaza vita vya kagera vingine viwili siwezi kuvisema ila kama wewe ni Mroma uliyebobea utavijua tu.
Tangu mchakato umeanzishwa mashuhuda wamepeleka miujiza mitatu na yote imepanguliwa vikali nia vikao husika,
Shuhuda wa kwanza alisema yeye aliomba Marehemu Mandela asife mpaka birthday yake ya 94 ipite na kweli mzee yule alipitiliza, muujiza huo ulikataliwa kwa sababu hauthibitiki.
Shuhuda mwingine alisema siku ya mazishi ya Mwl Nyerere kulikuwa na mvua za rasharasha pia muujiza huo ulikataliwa.
Shududa wa tatu alisema kuna mti uko Tanga umetengeneza kama picha ya umbo kama kichwa cha mwl Nyerere pia muujiza huo umekataliwa maana laiti ungekuwa Butiama pale mwitongo ingalao ungefikiriwa.
Mchakato unaendelea miujiza zaidi inatakiwa kupelekwa na mashuhuda kupitia vigango, parokia na majimbo yao kwa njia ya kitubio, endeleeni kupeleka pamoja na vikwazo ambavyo candidate wetu mpendwa anavyo lakini msikate tama.
Tumsifu Yesu Kristo.