Sungi
Senior Member
- Apr 29, 2009
- 149
- 47
Wakubwa - hivi wangapi mnakumbuka majina ya wagombea wa urais kupitia CCM mwaka 1995 kwenye round ya kwanza? Nakumbuka walikuwa wanne, Msuya, Mkapa, Kikwete na nimesahau wanne, kabla ya mchujo walipobaki Kikwete, Mkapa na Msuya. Ninaandika paper fulani hapa na ningependa kukumbushwa.
Asanteni
Asanteni