MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 182
Wakuu,
Mkapa kama Rais mstaafu anaishi kwa kodi zetu sisi 'sons and daughters of the soil' bila kujali tunatoka chama gani. Wakati tukitegemea yeye kuwa mshauri wa masuala yanayohusu mustakabali wa kuendesha nchi, yeye anajikita kwenye kudharau wale wote wanaohoji mambo halali juu ya namna hii nchi inavyoendeshwa. Mafao ya viongozi wakuu wastaafu naona yanatumika vibaya. Kwa kuwa Mkapa bado yuko kwenye 'active politics' tena za kutetea uovu, ni wakati mwafaka tuanzishe mchakato wa kisheria wa kumwondolea mafao, kwani anaweza akalipwa kwenye siasa za CCM.
Mwongozo tafadhali...
Mkapa kama Rais mstaafu anaishi kwa kodi zetu sisi 'sons and daughters of the soil' bila kujali tunatoka chama gani. Wakati tukitegemea yeye kuwa mshauri wa masuala yanayohusu mustakabali wa kuendesha nchi, yeye anajikita kwenye kudharau wale wote wanaohoji mambo halali juu ya namna hii nchi inavyoendeshwa. Mafao ya viongozi wakuu wastaafu naona yanatumika vibaya. Kwa kuwa Mkapa bado yuko kwenye 'active politics' tena za kutetea uovu, ni wakati mwafaka tuanzishe mchakato wa kisheria wa kumwondolea mafao, kwani anaweza akalipwa kwenye siasa za CCM.
Mwongozo tafadhali...