jogoolashamba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 348
- 71
Kuondoka kwa Mwalimu Nyerere kumeacha Tanzania bila matumaini! Watu wazima lakini hawaoni/hawajui hata wanalolifanya. Mmeng'ang'ania kukusanya mawazo ya wanavijiji kuhusu Katiba mpya wakati hata jina la nchi yenyewe bado liko mashakani. Itaitwa Tanzania, Shirikisho la Tanganyika na Zanzibar au Katiba itakuwa ni ya Tanganyika? (Wazanzibari wana yao)! Haya sukumeni twende, kwa sababu hata matatizo wenzetu huyaita mafanikio!