Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Ndani ya senate kuna republicans 53 na democrats 47, wengi wape. Hiyo tofauti ya wajumbe sita ndio itakayoamua hatima ya DT.Ngoja tusubiri.Uamuzi wa Baraza la Senate ndilo litakaloamua hatma yake.