mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Katiba mpya inamichakato miingi, huu nao wa kila chama kwenda mafichoni kuuchakato nina wasiwasi na kuuchakachua,
Hii katiba ni wananchi sio ya chama chochote, lkn ninamashaka makubwa na namna vyama vinapokwenda kuujadili ili iweje
Hivi ni nani atatakiwa mawazo yake yachukuliwe ni hawa wanaokaa na kujadili tena mawazo ya wananchi?
Ninaimani na ripoti ya warioba kwamba mawazo mengi ni ya wananchi, lakini kiongozi mmoja anatoa wapi haki ya kukataa
maoni ya wengi?
KATIBA HII MAONI HAYA LAZIMA YALINDWE KAMA WIZI ULE WA KURA,
Hii katiba ni wananchi sio ya chama chochote, lkn ninamashaka makubwa na namna vyama vinapokwenda kuujadili ili iweje
Hivi ni nani atatakiwa mawazo yake yachukuliwe ni hawa wanaokaa na kujadili tena mawazo ya wananchi?
Ninaimani na ripoti ya warioba kwamba mawazo mengi ni ya wananchi, lakini kiongozi mmoja anatoa wapi haki ya kukataa
maoni ya wengi?
KATIBA HII MAONI HAYA LAZIMA YALINDWE KAMA WIZI ULE WA KURA,