kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
Hawa jamaa wanaogopa kweli kulipoti Habari za kampeni hususani swaga za CDM kwa kuhofia kupigwa chini na JK kama alivyo mfanya Tido Mhando.Tunamkumbuka sana huyu mzee kwa kuwa mpenda haki na mtenda haki.Mlio baki hapo vaeni tu kanga na mashati ya kijani tujue moja.Too much Ubaguzi hamuoni hata aibu,Folish kabisa.