Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,456
Nimeangalia live ya Kipindi cha Mchakato Majimboni kinarushwa live na TBC-1 na mpaka sasa kinaendelea, nimewasikiliza wagombea wote, kwa maoni yangu, ubunge wa Ubungo, njia ni safi na nyeupe kwa JJ Mnyika, hongera sana JJ. Mnyika kuwa mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Ubungo, hili ni Jimbo very strategic, ndio lenye the think tank ya nchi hii pale UDSM, ndio the power hub ya nchi hii, mitambo ya umeme wa nchi, ndio lenye uhai wa nchi hii, Wizara ya maji, ndio wenye ICT ya nchi hii, TCRA, ndio wenye viwango vya nchi hii, TBS, ndio wenye afya ya nchi hii TFDA, na ndio wenye the getways ya nchi hii Ubungo Stand na the most volatile area of Tanzania, Manzese, wale jamaa wa Manzese, uki wamobilize ukawaambie twendeni Magogoni tukamfurushe yule mpangaji pale, no one can stop them.
Hongera sana Chadema kushika hili jimbo the second most strategic baada ya Jimbo la Ilala.
Mama Hawa Ngumbi na CCM Kwish ney!, wamemuuliza swali provocative, na kweli akawa provoked, aka loose control na kutishia kupeleka watu mahakamani.
CCM itakuwa na kazi kubwa ya kumsafisha huyu mama dhidi ya tuhuma alizotwikwa, na kama zina chembe ya ukweli, hilo ndilo jeneza rasmi la mgombea wa CCM.
Pia naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza Mkurugenzi wa TBC, Tido Muhando kuibadili TBC kutoka kuwa a Government TV Station hadi a Public Broadcasting station kwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote wakati wa uchaguzi. Pia pongezi kwa Mtangazaji Shabani Kissu wa TBC-1.
Tangu kile kipindi cha Kiti Moto Kilipokufa, leo ndio nimeona tena kipindi cha level ile.
Big Up nyingine TBC-1, Big Up Tido, Big Up Shaabani Kissu!, Big Up uhuru wa Habari
Pasco
Hongera sana Chadema kushika hili jimbo the second most strategic baada ya Jimbo la Ilala.
Mama Hawa Ngumbi na CCM Kwish ney!, wamemuuliza swali provocative, na kweli akawa provoked, aka loose control na kutishia kupeleka watu mahakamani.
CCM itakuwa na kazi kubwa ya kumsafisha huyu mama dhidi ya tuhuma alizotwikwa, na kama zina chembe ya ukweli, hilo ndilo jeneza rasmi la mgombea wa CCM.
Pia naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza Mkurugenzi wa TBC, Tido Muhando kuibadili TBC kutoka kuwa a Government TV Station hadi a Public Broadcasting station kwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote wakati wa uchaguzi. Pia pongezi kwa Mtangazaji Shabani Kissu wa TBC-1.
Tangu kile kipindi cha Kiti Moto Kilipokufa, leo ndio nimeona tena kipindi cha level ile.
Big Up nyingine TBC-1, Big Up Tido, Big Up Shaabani Kissu!, Big Up uhuru wa Habari
Pasco