Elections 2010 Mchakato Majimboni: JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia Nyeupe

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,443
113,456
Nimeangalia live ya Kipindi cha Mchakato Majimboni kinarushwa live na TBC-1 na mpaka sasa kinaendelea, nimewasikiliza wagombea wote, kwa maoni yangu, ubunge wa Ubungo, njia ni safi na nyeupe kwa JJ Mnyika, hongera sana JJ. Mnyika kuwa mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Ubungo, hili ni Jimbo very strategic, ndio lenye the think tank ya nchi hii pale UDSM, ndio the power hub ya nchi hii, mitambo ya umeme wa nchi, ndio lenye uhai wa nchi hii, Wizara ya maji, ndio wenye ICT ya nchi hii, TCRA, ndio wenye viwango vya nchi hii, TBS, ndio wenye afya ya nchi hii TFDA, na ndio wenye the getways ya nchi hii Ubungo Stand na the most volatile area of Tanzania, Manzese, wale jamaa wa Manzese, uki wamobilize ukawaambie twendeni Magogoni tukamfurushe yule mpangaji pale, no one can stop them.

Hongera sana Chadema kushika hili jimbo the second most strategic baada ya Jimbo la Ilala.

Mama Hawa Ngumbi na CCM Kwish ney!, wamemuuliza swali provocative, na kweli akawa provoked, aka loose control na kutishia kupeleka watu mahakamani.

CCM itakuwa na kazi kubwa ya kumsafisha huyu mama dhidi ya tuhuma alizotwikwa, na kama zina chembe ya ukweli, hilo ndilo jeneza rasmi la mgombea wa CCM.

Pia naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza Mkurugenzi wa TBC, Tido Muhando kuibadili TBC kutoka kuwa a Government TV Station hadi a Public Broadcasting station kwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote wakati wa uchaguzi. Pia pongezi kwa Mtangazaji Shabani Kissu wa TBC-1.
Tangu kile kipindi cha Kiti Moto Kilipokufa, leo ndio nimeona tena kipindi cha level ile.

Big Up nyingine TBC-1, Big Up Tido, Big Up Shaabani Kissu!, Big Up uhuru wa Habari
Pasco
 
Mgombea wa CCM, Mama Hawa Ng'umbi azomewa, ahamaki, anyamaza!. Mwendeshaji wa Kipindi, Shabani Kissu, awatuliza wazomeaji, amsihi Mama Ng'umbi aombe kura, mama Ng'umbi aomba kura kwa unyonge!.

Jimbo la Ubungo hiloo....Chadema!

Unless CCM wafanye mambo .... kama Busanda na Biharamulo!.
 
Kama kawaida ya mafisadi, Mama N'humbi alihamaki, na kudai athibitishiwe madai yale, la sivyo mahakamani!

Baadaye akajutia kauli yake hiyo, kwani alipewa fursa ya kujibu swali, hakujibu. Kwa hiyo amewaacha wapiga kura na fikra kwamba, kwa kuwa amekwepa kujibu swali la kudaiwa kuuza nyumba, basi, kuna ukweli ndani yake.

Katika wagombea wote kwenye mdahalo huo, Mnyika peke yake ndiye aliyejieleza kwa ufasaha. Wengine walisuasua tu!

Nimempelekea silaha nyingine za kujieleza kwa ufasaha.

HEHEHE!

Mwaka huu, kiama cha CCM ndio kimewadia!

Oktoba 31, 2010 ndio Siku ya Hukumu kwa CCM! WAONDOKE!

-> Mwana wa Haki
 
Katika wagombea wote, Mnyika anatia matumaini kwakuwa amejibu kwa ufasaha na ameonyesha uelewa mkubwa wa matatizo ya jimbo hilo. Tatizo linabaki palepale kwa wapiga kura...Je watamchagua Mnyika kutokana na weledi wake ama watachagua vyama vyao? Jambo lingine ni, wale wakazi wa Ubungo ambao wameona Mnyika kuwa ni mtu sahihi kuwawakilisha katika jimbo lao, kutokana na maelezo yake na uadilifu wake,na labda utendaji wake JE, wamejiandikisha kupiga kura?
 
Mgombea wa CCM, Mama Hawa Ng'umbi azomewa, ahamaki, anyamaza!. Mwendeshaji wa Kipindi, Shabani Kissu, awatuliza wazomeaji, amsihi Mama Ng'umbi aombe kura, mama Ng'umbi aomba kura kwa unyonge!.

Jimbo la Ubungo hiloo....Chadema!

Unless CCM wafanye mambo .... kama Busanda na Biharamulo!.

Safari hii hatutakubali wachakacheu kura zetu.
 
Yalikuwa Maswali Gani? Tutapat wapi kuyasoma?
Aliulizwa matatizo ya nyumba na ardhi Ubungo ni matatizo makubwa, haswa zilizokuwa nyumba za NHC pale Urafiki, na yeye akiwa UWT Kinondoni, aliwahi kutuhumiwa kwa ufisadi wa kuuza nyumba ya UWT, jee akichaguliwasi ndio itakuwa balaa kabisa?.

Mama akaamka na jazba kibao, 'thibitisha vinginevyo nakupeleka mahakamani'
Mwendesha kipindi 'naombeni tuwe waangalifu sana na kuleta tuhuma, lazima ziambatane na uthibitisho'
Kwa vile hizi ni tuhuma tuu, sio lazima uzijibu, tunaendelea...'
Muuliza swali ambae ni ka binti kama cha Uswazi fulani kutokana na matamshi yake, akaendelea, 'kwani mahakama zimewekwa za nini?!, si zimewekewa watu, mahakamani tutakwenda na ushahidi tunao, lakini kwa hapo, jibu swali usitake kutuzeveza!.
Ndipo kwa unyonge huku amenyea akajibu 'sio kweli, sijauza nyumba yoyote!'
 
Kazi kweli kweli.

Basi utashangaa waTz wenzangu, watapigia kura chama na sio mtu makini.
 
Aliulizwa matatizo ya nyumba na ardhi Ubungo ni matatizo makubwa, haswa zilizokuwa nyumba za NHC pale Urafiki, na yeye akiwa UWT Kinondoni, aliwahi kutuhumiwa kwa ufisadi wa kuuza nyumba ya UWT, jee akichaguliwasi ndio itakuwa balaa kabisa?.

Mama akaamka na jazba kibao, 'thibitisha vinginevyo nakupeleka mahakamani'
Mwendesha kipindi 'naombeni tuwe waangalifu sana na kuleta tuhuma, lazima ziambatane na uthibitisho'
Kwa vile hizi ni tuhuma tuu, sio lazima uzijibu, tunaendelea...'
Muuliza swali ambae ni ka binti kama cha Uswazi fulani kutokana na matamshi yake, akaendelea, 'kwani mahakama zimewekwa za nini?!, si zimewekewa watu, mahakamani tutakwenda na ushahidi tunao, lakini kwa hapo, jibu swali usitake kutuzeveza!.
Ndipo kwa unyonge huku amenyea akajibu 'sio kweli, sijauza nyumba yoyote!'

Pasco,hili jibu litabaki kwenye kumbukumbu zangu,ka binti kanaonekana kapo safi kichwani,hawa ndio wapiga kura wanaotakiwa,maswali magumu unaulizwa unabaki kutishia mahakamani.
 
Mama H ngu ... wakati wote amekuwa anamezwa na hamasa zake na huwa zinampeleka kubaya.... sio sifa ya kiongozi mzuri!!!
 
Bwana Paskali, wewe
Najua huwezi kuipongeza Chadema kwa kuwa brutally honest kwa sababu most of you wanahabari wa Tanzania don't have word honesty in your vocabularies, lakini hiyo haizuwii mtu yeyote mwenye akili timamu kukipongeza chama hicho kwa kuwa wakweli.
Nimeangalia live ya Kipindi cha Mchakato Majimboni kinarushwa live na TBC-1 na mpaka sasa kinaendelea, nimewasikiliza wagombea wote, kwa maoni yangu, ubunge wa Ubungo, njia ni safi na nyeupe kwa JJ Mnyika, Mama Hawa Ngumbi na CCM Kwish ney!, wamemuuliza swali provocative, na kweli akawa provoked, aka loose control na kutishia kupeleka watu mahakamani.

CCM itakuwa na kazi kubwa ya kumsafisha huyu mama dhidi ya tuhuma alizotwikwa, na kama zina chembe ya ukweli, hilo ndilo jeneza rasmi la mgombea wa CCM.

Pia naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza Mkurugenzi wa TBC, Tido Muhando kuibadili TBC kutoka kuwa a Government TV Station hadi a Public Broadcasting station kwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote wakati wa uchaguzi. Pia pongezi kwa Mtangazaji Shabani Kissu wa TBC-1.
Tangu kile kipindi cha Kiti Moto Kilipokufa, leo ndio nimeona tena kipindi cha level ile.

Big Up nyingine TBC-1, Big Up Tido, Big Up Shaabani Kissu!, Big Up uhuru wa Habari
Pasco
Karibu
P
 
Nimeangalia live ya Kipindi cha Mchakato Majimboni kinarushwa live na TBC-1 na mpaka sasa kinaendelea, nimewasikiliza wagombea wote, kwa maoni yangu, ubunge wa Ubungo, njia ni safi na nyeupe kwa JJ Mnyika, Mama Hawa Ngumbi na CCM Kwish ney!, wamemuuliza swali provocative, na kweli akawa provoked, aka loose control na kutishia kupeleka watu mahakamani.

CCM itakuwa na kazi kubwa ya kumsafisha huyu mama dhidi ya tuhuma alizotwikwa, na kama zina chembe ya ukweli, hilo ndilo jeneza rasmi la mgombea wa CCM.

Pia naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza Mkurugenzi wa TBC, Tido Muhando kuibadili TBC kutoka kuwa a Government TV Station hadi a Public Broadcasting station kwa kutoa haki sawa kwa vyama vyote wakati wa uchaguzi. Pia pongezi kwa Mtangazaji Shabani Kissu wa TBC-1.
Tangu kile kipindi cha Kiti Moto Kilipokufa, leo ndio nimeona tena kipindi cha level ile.

Big Up nyingine TBC-1, Big Up Tido, Big Up Shaabani Kissu!, Big Up uhuru wa Habari
Pasco
Mzee paskal nowdayz hujawahi kuisemea mema CHADEMA !!
Karibu.
P
 
Alichukuaga Hela kwa Hawa Ngumbi ili aliache Jimbo aende kibamba, akidhania Hawa Ngumbi angetoboa, akapigwa, tangu hapo ni mpooole, na enzi ya jiwe kidogo aunge juhudi.

Nafasi ya KM haimtoshi
 
Nimeangalia live ya Kipindi cha Mchakato Majimboni kinarushwa live na TBC-1 na mpaka sasa kinaendelea, nimewasikiliza wagombea wote, kwa maoni yangu, ubunge wa Ubungo, njia ni safi na nyeupe kwa JJ Mnyika, hongera sana JJ. Mnyika kuwa mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Ubungo, hili ni Jimbo very strategic, ndio lenye the think tank ya nchi hii pale UDSM, ndio the power hub ya nchi hii, mitambo ya umeme wa nchi, ndio lenye uhai wa nchi hii, Wizara ya maji, ndio wenye ICT ya nchi hii, TCRA, ndio wenye viwango vya nchi hii, TBS, ndio wenye afya ya nchi hii TFDA, na ndio wenye the getways ya nchi hii Ubungo Stand na the most volatile area of Tanzania, Manzese, wale jamaa wa Manzese, uki wamobilize ukawaambie twendeni Magogoni tukamfurushe yule mpangaji pale, no one can stop them.

Hongera sana Chadema kushika hili jimbo the second most strategic baada ya Jimbo la Ilala.
Mkuu Pascal Mayalla nina moja lakukuambia na wewe tuseme you are pure Anti-Chadema because day after day hujaandika kitu hata mstari mmoja kwenye thread yako kusifu Chadema
Hili ni Bandiko la pongezi Kwa Chadema.
P
 
Hili ni Bandiko la pongezi Kwa Chadema.
P
Hili bandiko lako ni la lini Mkuu?...mimi nimeongelea Currently ambapo kuna maswala mengi yametokea ambayo kwa namna Thread zako ulivyozipa jina zuri la Maslahi Ya Nchi hayo maswala ndio ungeyasemea wewe hapo Mkuu unanionesha Bandiko la Miaka hio ni onyeshe La karibuni
Rais katoa kauli nyingi Tata umesema wapi?
Mfumuko wa Bei umelisemea wapi?
Watoto wamekosa Mikopo Elimu ya Juu umelisemea wapi?
Upigaji wa hela za Covid umelisemea wapi?
We maslahi unayoyasema yapoje?...ya kuiponda Chadema kila uchwao?
 
Hili bandiko lako ni la lini Mkuu?...mimi nimeongelea Currently ambapo kuna maswala mengi yametokea ambayo kwa namna Thread zako ulivyozipa jina zuri la Maslahi Ya Nchi hayo maswala ndio ungeyasemea wewe hapo Mkuu unanionesha Bandiko la Miaka hio ni onyeshe La karibuni
Rais katoa kauli nyingi Tata umesema wapi?
Mfumuko wa Bei umelisemea wapi?
Watoto wamekosa Mikopo Elimu ya Juu umelisemea wapi?
Upigaji wa hela za Covid umelisemea wapi?
We maslahi unayoyasema yapoje?...ya kuiponda Chadema kila uchwao?
Hoja kuu yako ni tuhuma kuwa sijawahi kuandika hata mstari mmoja kuipongeza Chadema. Hayo mengine ya kupangiana nini cha kuandika yanazungumzika.
P
 
Kitila anajua ubabe wa mwendazake ndio ulimpitisha! Tofauti na hilo anatakiwa kusahau kabisa Ubungo, labda aende kwako!
 
Nimeangalia live ya Kipindi cha Mchakato Majimboni kinarushwa live na TBC-1 na mpaka sasa kinaendelea, nimewasikiliza wagombea wote, kwa maoni yangu, ubunge wa Ubungo, njia ni safi na nyeupe kwa JJ Mnyika, hongera sana JJ. Mnyika kuwa mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Ubungo, hili ni Jimbo very strategic, ndio lenye the think tank ya nchi hii pale UDSM, ndio the power hub ya nchi hii, mitambo ya umeme wa nchi, ndio lenye uhai wa nchi hii, Wizara ya maji, ndio wenye ICT ya nchi hii, TCRA, ndio wenye viwango vya nchi hii, TBS, ndio wenye afya ya nchi hii TFDA, na ndio wenye the getways ya nchi hii Ubungo Stand na the most volatile area of Tanzania, Manzese, wale jamaa wa Manzese, uki wamobilize ukawaambie twendeni Magogoni tukamfurushe yule mpangaji pale, no one can stop them.

Hongera sana Chadema kushika hili jimbo the second most strategic baada ya Jimbo la Ilala.
Pasco
Huyu nguli mwanasheria na mwandishi mwenye CV isiyo na shaka asiyeona zuri kwa Chadema! Ni, ni PMmmmmmm.
Mkuu elvischirwa , angalia tarehe ya bandiko hili, limepanda siku ngapi kabla ya uchaguzi mkuu!, kwa vile kauli huumba, kuna uwezekano ni kauli hii ndio iliyo muumbia ushindi JJ. Mnyika!. Hili sii zuri?.
P
 
Back
Top Bottom