Hawa ni magamba wanataka wapinzani wagombane ili wapate unafuu, mmeliwa tuliisha wagundua kabla hamjaanza. Kwanza CUF wenyewe wanalenga mikoa sita tu, CDM inalenga nchi nzima. Kwani hapo tatizo liko wapi? JIFARIJINI MAGAMBA LAKINI KUMBUKA MWISHO WENU UNAKARIBIASijui prof nini kimemvutia huko..?Tishio lipi sasa?mwanachama, mbunge diwani au nani atapotea?Nilidhani CUF ile tabia ya Bundi kuimba wimbo wa Kasuku imeisha nikadhani hata wamejaribu kuwa ngukuru kumbe bado ni mabundi