wana ccm wahaha kumuomba aliyekuwa mgombea kijana kabisa na machachari wa chadema Mh. Habib Mchange asitishe wazo lake la kupinga matokeo. yadaiwa mawasiliano yafanywa kutoka uongozi wa juu wa chama cha ccm. kijana agome mngindo na mzaliwa wa hapahapa kibaha mjini akataa katukatu.