lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,939
- 517
Jamani, watu wanasema ushamba ni mzigo. Leo pale Kariakoo Kamata kwenye mataa, nimemkuta jamaa mmoja anaitwa Massawe wa Ushirombo akiwa na suti yake maridadi amekaa chini akiangalia screen kubwa ya matangazo ya biashara pale kwenye mataa Kamata.
Huyu Massawe alikua katulia tuli na soda yake ya pepsi na chips mayai anaangalia ile TV, nilipomuuliza inakuaje Massawe uko hapa?, Akajibu kwa kujihamini "hallow chalii yangu, nipo hapa nasubiria tamthilia ya Isidingo na 24 maana home sina kideo yelewiiii "
Lakini baada ya muda traffic walimuondoa yule Massawe pale barabarani. Ama kweli mjini kuna mambo!
Wakuu mnasemaje kuhusu hili? Karibuni.
Huyu Massawe alikua katulia tuli na soda yake ya pepsi na chips mayai anaangalia ile TV, nilipomuuliza inakuaje Massawe uko hapa?, Akajibu kwa kujihamini "hallow chalii yangu, nipo hapa nasubiria tamthilia ya Isidingo na 24 maana home sina kideo yelewiiii "
Lakini baada ya muda traffic walimuondoa yule Massawe pale barabarani. Ama kweli mjini kuna mambo!
Wakuu mnasemaje kuhusu hili? Karibuni.