ASKOFU MSAIDIZI
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 209
- 23
kuna tetesi kuwa ameunda Tasj force ya kumufuatilia aliyetoa siri za kikao cha umafia. Pia ameanda mpango wa kuwaalika wachungaji wageni ili wamusafishe hapo. Mwaka 2006 Mch Shansi kutoka Drc aliyekuwa anafadhiliwa na Rwakatare alikamatwa na kufukuzwa nchini na tukio hilo lilisababisha kufukuzwa wachungaji wake zaidi ya 10 akiwemo Kanali Mwakang'ata, Mch Kantunz, Mch Fred Rwegasira, Mch Chegele, Mch Aliphonce Temba, Mch Math Komanya, Mch Francis, Mch Emanuel, ambao mpaka sasa ni maadui.Matha Komanya alifukuzwa lakini kwa sasa amerejeshwa.
hivyo upo uwezekano baadhi ya wachungaji wakafukuzwa kwa tuhuma za kutoa siri
hivyo upo uwezekano baadhi ya wachungaji wakafukuzwa kwa tuhuma za kutoa siri