Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,459
- 40,959
Mchungaji Msigwa ameeleza kwamba kulikuwa na njama zilizokuwa zimepangwa na CCM kuhusiana na Rais Magufuli kumlipia faini ya Mahakama.
Alipokuwa anatoka, tofauti na wakati Halima Mdee na wenzake wanatolewa, ambapo hakukuwa na waandishi wa habari, yeye alipotolewa alishangaa kuwaona CCM na wanahabari na makamera yao. Akawaambia, nirudisheni haraka gerezani. Mimi siyo wa bei rahisi kiasi hicho. Nina msimamo, kuna mambo ya msingi ninayoyasimamia.
Ameeleza kuwa yeye na Rais Magufuli, wana uhusiano wa kifamilia lakini Taifa ni kubwa kuliko familia. Kama Rais Magufuli alimchangia kwa kuzingatia uhusiano wa kifamilia, Polepole anahusikaje? Polepole siyo mwanafamilia. Polepole siyo Msigwa, siyo ndugu. Gerson Msigwa ni ndugu lakini siyo msemaji wa familia, yeye ni msemaje wa Ikulu.
Jambo la kujiuliza: Is Polepole that low, kiasi cha kushindwa kufikiria haya aliyoyahoji Mch. Msigwa?
Kwa maelezo yake, sikiliza video hiyo.
Alipokuwa anatoka, tofauti na wakati Halima Mdee na wenzake wanatolewa, ambapo hakukuwa na waandishi wa habari, yeye alipotolewa alishangaa kuwaona CCM na wanahabari na makamera yao. Akawaambia, nirudisheni haraka gerezani. Mimi siyo wa bei rahisi kiasi hicho. Nina msimamo, kuna mambo ya msingi ninayoyasimamia.
Ameeleza kuwa yeye na Rais Magufuli, wana uhusiano wa kifamilia lakini Taifa ni kubwa kuliko familia. Kama Rais Magufuli alimchangia kwa kuzingatia uhusiano wa kifamilia, Polepole anahusikaje? Polepole siyo mwanafamilia. Polepole siyo Msigwa, siyo ndugu. Gerson Msigwa ni ndugu lakini siyo msemaji wa familia, yeye ni msemaje wa Ikulu.
Jambo la kujiuliza: Is Polepole that low, kiasi cha kushindwa kufikiria haya aliyoyahoji Mch. Msigwa?
Kwa maelezo yake, sikiliza video hiyo.