Mch Msigwa avamiwa na vijana wenye mapanga -CCM watengeneza propaganda kuwa anagawa hela za bodaboda

chachana

Member
Aug 4, 2011
57
92
Vijana wa CCM waliovalia kombati za chadema kuanzia wiki iliyopita wamekuwa wakipita na kugawa fedha kiasi cha shilingi 30,000 hadi 50,000 kwa vijana wenye pikipiki katika maeneo ya usa, tengeru na maji ya chai. Mpango huo wa kufitinisha ambao unaratibiwa na Mwigulu Nchemba inasemekana wamekuwa wakiwapa fedha hizo vijana wachache na hivyo kutia hasira kwa vijana wengine kuwa fedha zinatolewa kwa upendeleo na matokeo yake wenye pikipiki wengi wameanza kugoma kujitolea kama ilivyokuwa hapo awali.
Katika hila hiyo, ametajwa mhe msigwa kuwa ndiye mwenye fedha na kuwa vijana wote wenye bodaboda waende kumuona awapatie fedha jambo ambalo lilizua tafrani kubwa.

Sambamba na hilo, CCM wamekuwa wakitumia ujanja mwingine wa kutumia bendera ya chadema kufunga kwenye magari yao ili kuwavuta watu na kisha watu wakikusanyika ndio wanapojivua gamba na kusema wao ni CCM na hizo bendera wanaonyesha kuwa watu wamerudi CCM, kitu ambacho kilitafsiriwa na wenyeji wa meru kuwa ni mbinu ya kijinga.
 
Pepo mchafu, laana balaa, ibilisi, shetani, huna nafasi, ondoka na utokomee, na umwingilie mwigulu na ccmd yake akatumbukie baharini atokomee
 
Vijana wa CCM waliovalia kombati za chadema kuanzia wiki iliyopita wamekuwa wakipita na kugawa fedha kiasi cha shilingi 30,000 hadi 50,000 kwa vijana wenye pikipiki katika maeneo ya usa, tengeru na maji ya chai. Mpango huo wa kufitinisha ambao unaratibiwa na Mwigulu Nchemba inasemekana wamekuwa wakiwapa fedha hizo vijana wachache na hivyo kutia hasira kwa vijana wengine kuwa fedha zinatolewa kwa upendeleo na matokeo yake wenye pikipiki wengi wameanza kugoma kujitolea kama ilivyokuwa hapo awali.
Katika hila hiyo, ametajwa mhe msigwa kuwa ndiye mwenye fedha na kuwa vijana wote wenye bodaboda waende kumuona awapatie fedha jambo ambalo lilizua tafrani kubwa.

Sambamba na hilo, CCM wamekuwa wakitumia ujanja mwingine wa kutumia bendera ya chadema kufunga kwenye magari yao ili kuwavuta watu na kisha watu wakikusanyika ndio wanapojivua gamba na kusema wao ni CCM na hizo bendera wanaonyesha kuwa watu wamerudi CCM, kitu ambacho kilitafsiriwa na wenyeji wa meru kuwa ni mbinu ya kijinga.
Sidhani kama Wameru ni wajinga kiasi hicho hata washindwe kun'gamua mbinu za magamba. Magamba daima huwa wanatamani watu wawe wajinga wote. Safari hii magamba watalia machozi ya damu.
 
Mbona sijaona habari yyt kuhusu mapanga?au heading uliichomoa kwenye shigongo black movie?
 
Mimi nadhani umefikia muda muafaka kuhakikisha CDM wanakuwa na Intelijensia iliyoimarika, hata kwa kuwatumia wengine kama ccm kuwabaini hawa wanaoeneza tabia chafu ya Rushwa kwa mgongo wa CDM.
Akibainika hatua kali sana ichukuliwe iwe mfano
 
Natamani watanzania wote wangekuwa na uelewa wa watu wa Arumeru maana nchi hii saa hii ingekuwa mbali. Muda wa CCM kuongoza wajinga umepita na bado hapo 2015 ambapo watu wameamua kufuata ustaarabu tu kumuachia muda rais aliyeko madarakani amalize muda wake ni lazima patawaka moto. Hili ni angalizo kwani asiyejua maana haambiwi .....
 
Kwa kweli kama wanafanya hivyo it is not fair in the political battle ground vyombo vinavyo husika tuviomba vifuatilie madai haya, Na hatimaye kuwachukulia hatua za kisheria, Jamani tuwa ache wameru wachague Mbunge anaye wafuaa
 
Vijana wa CCM waliovalia kombati za chadema kuanzia wiki iliyopita wamekuwa wakipita na kugawa fedha kiasi cha shilingi 30,000 hadi 50,000 kwa vijana wenye pikipiki katika maeneo ya usa, tengeru na maji ya chai. Mpango huo wa kufitinisha ambao unaratibiwa na Mwigulu Nchemba inasemekana wamekuwa wakiwapa fedha hizo vijana wachache na hivyo kutia hasira kwa vijana wengine kuwa fedha zinatolewa kwa upendeleo na matokeo yake wenye pikipiki wengi wameanza kugoma kujitolea kama ilivyokuwa hapo awali.
Katika hila hiyo, ametajwa mhe msigwa kuwa ndiye mwenye fedha na kuwa vijana wote wenye bodaboda waende kumuona awapatie fedha jambo ambalo lilizua tafrani kubwa.

Sambamba na hilo, CCM wamekuwa wakitumia ujanja mwingine wa kutumia bendera ya chadema kufunga kwenye magari yao ili kuwavuta watu na kisha watu wakikusanyika ndio wanapojivua gamba na kusema wao ni CCM na hizo bendera wanaonyesha kuwa watu wamerudi CCM, kitu ambacho kilitafsiriwa na wenyeji wa meru kuwa ni mbinu ya kijinga.

Kaka una habari kuwa vijana wengi wa CDM wamepoteza vitambulisho vyao vya kupiga kura?
 
Mpaka hapa hata ww umeshagundua huu mchezo mchafu, toa darasa kwa wengine pia mhamasishane kwa pamoja tutashinda, CHADEMA ni mimi wewe na yule.
 
Vijana wa CCM waliovalia kombati za chadema kuanzia wiki iliyopita wamekuwa wakipita na kugawa fedha kiasi cha shilingi 30,000 hadi 50,000 kwa vijana wenye pikipiki katika maeneo ya usa, tengeru na maji ya chai. Mpango huo wa kufitinisha ambao unaratibiwa na Mwigulu Nchemba inasemekana wamekuwa wakiwapa fedha hizo vijana wachache na hivyo kutia hasira kwa vijana wengine kuwa fedha zinatolewa kwa upendeleo na matokeo yake wenye pikipiki wengi wameanza kugoma kujitolea kama ilivyokuwa hapo awali.
Katika hila hiyo, ametajwa mhe msigwa kuwa ndiye mwenye fedha na kuwa vijana wote wenye bodaboda waende kumuona awapatie fedha jambo ambalo lilizua tafrani kubwa.

Sambamba na hilo, CCM wamekuwa wakitumia ujanja mwingine wa kutumia bendera ya chadema kufunga kwenye magari yao ili kuwavuta watu na kisha watu wakikusanyika ndio wanapojivua gamba na kusema wao ni CCM na hizo bendera wanaonyesha kuwa watu wamerudi CCM, kitu ambacho kilitafsiriwa na wenyeji wa meru kuwa ni mbinu ya kijinga.

si tumeambiwa serikali mipo huko na ina jeshi???

inakera sana hii, halafu Mchemba ni mtu wa kutandika bakora sijui mnamchelewesha nini hadi leo
 
Leta ushahidi hapa . Udaku hatuhitaji peleka kwa shigongo.

magamba ndo zenu hizo kwani hatuwajui!? Tunafahamu sana mnapenda kuwadharaulisha watu na kuwafanya wajinga ili muwatawale kirahisi na mnadharau sana.Kwa karne hii hilo halwezekaniki may be enzi za ticha.Kwa kizaz hki hata nyie mnafahamu na tena mshindwe na mlegee kwa kila baya mlitendalo dhidi ya wenzenu wa cdm kwana cdm wako makini kuliko ninyi magamba!.
 
Hivi kweli sera CCM haiziuziki kiasi cha kutumia mbinu hizi chafu. Kuna haja ya kuwatimua wote wanoshiriki katika kampeni za CCM Arumeru maana wanapoteza raslimali za chama period
 
Namkataa SHETANI na mambo yake yote.

Tumeanza na MUNGU tutamaliza na MUNGU. Mungu yupo pamoja NASI.
 
Watu wafundishwe kutamka maneno haya:

"Tunaikataa CCM na mambo yake yote"
"Tunaamini kuwa CHADEMA ndicho chama pekee kitakacholeta ukombozi wa kweli"
"Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie"
"Amina"

Kisha malizia kwa kumshukuru MUNGU kama signature yangu inavyosomeka hapa chini. Sauti ya wengi, ni sauti ya MUNGU. Amina.
 
si tumeambiwa serikali mipo huko na ina jeshi???

inakera sana hii, halafu Mchemba ni mtu wa kutandika bakora sijui mnamchelewesha nini hadi leo

bakora ndiyo dawa yake naona hawa TAKUKURU hakuna wanachofanya.
 
Watu wafundishwe kutamka maneno haya:

"Tunaikataa CCM na mambo yake yote"
"Tunaamini kuwa CHADEMA ndicho chama pekee kitakacholeta ukombozi wa kweli"
"Ewe Mwenyezi Mungu tusaidie"
"Amina"

Kisha malizia kwa kumshukuru MUNGU kama signature yangu inavyosomeka hapa chini. Sauti ya wengi, ni sauti ya MUNGU. Amina.

mwamuzi mzuri ni tarehe moja,hayuko mbali sana
 
Back
Top Bottom