Mch. Michael Peter Nhonya, amewataka wana Dodoma na Watanzania kupanda miti kwa nguvu zote

Aug 29, 2016
18
10
Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa kupanda miti na kutunza mazingira hatimaye kuifanya Dodoma kuwa Kijani.

Akizungumza na wananchi wa kata ya Iyumbu wakati wa zoezi la upandaji miti leo tarehe 3 Feb 2018 Makamu Mwangalizi mkuu wa Kanisa la Baptist Tanzania Mch Michael Peter Nhonya, amewataka wana Dodoma na Watanzania kupanda miti kwa nguvu zote kuiepusha dunia na majanga.

Mch Nhonya amesema Biblia inasisitiza upandaji miti na utunzaji wa mazingira. Ni vema watu wakajenga utamaduni huu wenyewe badala ya kusubiri oparesheni za panda miti zinazofanywa na Serikali kila mwaka.
 
Hadi kupanda miti ni zoezi la kitaifa/kimkoa. Wakati tuna wizara, mamlaka mbalimbali na familia. Linatakiwa kiwa jambo la kawaida sana
 
Kijani hiihii ya ccm au? Hivi hakunaga miti ya rangi nyingine?
 
Back
Top Bottom