Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Kwenye kila jambo mna kusudi,naamini kuwa kuwepo kwa mchungaji Ambikile na uwezo wake wa kutibu magonjwa sugu kwa mitishamba,ni fursa kubwa kwa nchi yetu kujitangaza na kuingiza pesa nyingi za kigeni kwa utalii wa tiba(medical tourism)
Nashauri kwa waziri wa utalii atumie fursa hii ya utalii wa tiba
Nashauri kwa waziri wa utalii atumie fursa hii ya utalii wa tiba