G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,560
- 8,425
Yaani unatambua wazi alitaka kusema nini na akakosea lakini unajifyatua akili unaandika upuuzi utawasaidieni nini sasa? Upinzani mmetia aibu piteni kushoto kama siyo nyuma mpotee kwa mashoga ulaya tuone kama kweli yatawasaidia..wenzenu tulibadirka kitambo tukajua mbivu na mbichi
Hapa sasa hivi hiyo Kawe imepata mtu,tazama ni siku ya kwanza kuongea bungeni lakini ameongea kama ana miaka 20 mle ndani,msiwe mna kariri watu hata kama ni majuha tu ninyi mnadhani ndo wanafaa
Hapa sasa hivi hiyo Kawe imepata mtu,tazama ni siku ya kwanza kuongea bungeni lakini ameongea kama ana miaka 20 mle ndani,msiwe mna kariri watu hata kama ni majuha tu ninyi mnadhani ndo wanafaa