Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kuna mambo yanahitaji umakini, hofu ya Mungu na utulivu wa akili sana. Mchungaji Gwajima naomab unisamehe km nitatumia ulinganifu usio makini sana. Kwanza mimi sikuwa nakujua ,wala kukufuatilia achilia mbali hata kujua km nakuchukulia serious. Baadae nikakufahamu kwa huku nikiwa na taswira ya upande mmoja niliyoipata km waandishi walivyopenda kukutambulisha kwa umma. Ila mahali nilipobadilika fikra juu yako ni siku jamaa mmoja kapost link ya video toka youtube. Huyo jamaa alipost picture km sehemu ya dhihaka,tuone jinsi Gwajima alivyodhalilika ktk kanisa lake mwenyewe.Ila video , ilikuwa ina details nyingi sana. mchungaji Gwaji, hapo ndipo nilianza kukubali sana.Nilirudi hadi ktk video ambayo mtoa mada alisema ndio sababu.Nayo nilipoingalia kweli nilikuwa Gwajima ni ngumu ya kutambulika na kuogopwa.Niliona vitu tofauti sana watazamaji wengine .Km ni Ngosha kweli ni wale wanaoitwa Masanja hawachoki kufurahisha watu hata ktk bonde la uvuli na mauti. Gwajima km Mungu atapenda nitapita kuchambua kwa umakini kwanini nilikukubali na kumkubali Mungu aliye nyuma yako. kutokea hapo nilikukubali hadi watu wasio makini wakaniita mjinga sana. by the time napata maneno km Kuamsha dudu, machine ya kusaga na kutoa sembe ilikuwa ni km bonus tuu,
Tukirudi ktk maombi ya jamvi.Mchungaji naomba nikugeuze kidogo kuwa YOHANA MBATIZAJI,SIO yule yohana mpiga ramli wetu. Mchungaji siku ile ukiwa umebanwa, ukiwa ktk maumivu, mbele ya kondoo waliokuwa wakikutazama km kiongozi. Ukiwa km Yesu siku ile jamaa mmoja alikatwa sikio,Yesu akalirudisha na kuwasihi wafuasi wasitumie upanga. Gwajima na wewe nilikusikia ukiwasihi waumini watulie ina macho na masikio yao yanatosha kabisa kuwaona na kuwamaliza wageni wasioalikwa. Waumini wako walivyo sharp, na wakakamavu km hukuwa makini sidhani km wale wageni wangetok ingawa wamefumbwa sana macho kuweza jua hilo .. Uliongea mengi ila kwa leo napenda kukuuliza haya. JE MANGE NI MMOJAWAPO KTK WALE WANAWAKE WALIOAMUA KUCHUKUA JUKUMU BILA SILAHA HATARI KUOKOA NCHI AMBAYO WANAUME WOTE WALISHAFYATA MKIA MBELE YA MTAWALA MWENYE NGUVU NYINGI, MAGARI YA KISASA(Magari ya farasi ya mwendo kasi na silaha za chuma enzi hizo ni kila kitu). Ulitaja wanawake wawili mmoja ni malaya tuu, mwingine ni nabii tuu, aliyewaambia wanaume waende mbele tuu,yeye atakuwa akitoa unabii na malaya alimalizia. Kwa nionavyo nikuulize tuu,JE HUYU MANGE ni yule mama Nabii. Aliyewaambia wanaume waende front na baadae mfalame akili zkafyatuka akakimbia askari na zana za kivita akakimbia hadi kwenda kuomba hifadhi kwa mwanamke malaya ambaye alimuua mfalme yule kirahisi sana? Kwa tabia za Mange ni wazi kachukua nafasi km ya yule nabii.
MTUMISHI leo nakuita YOHANA MBATIZAJI naomba km unahisi huna hakika sana muda huu,na huwezi ongea uongo hembu tuulizie kwa Mange je ni Yeye uliyemuona ktk maono siku ile ya huzuni na machungu ktk bonde la mauti?Hata Yohana mbatizaji alimbatiza Yesu ila alipokuwa gerezani alihofu na kukosa kuamini pengine hakupenda kuondoka bila kuacha njia kwa yule aliyesafishiwa.Ilibidi atume ujumbe wake kupitia mjumbe wa Yesu.Je Yesu ndie yule Masihi?
Km Mange ni mmojawapo ni wazi ushindi tutaupata kupitia huyu mwanadada. Zumari lake litamtoa nyoka pangoni.
NOTE: online-pastor kanipa nukuu Mchu alipochukua ktk andiko maandiko: Waamuzi 4
Hiyo Video inasema mengi sana.Tatizo la watz mipango yao sio makini sana.Ni ngumu sana kuwasaidia watu kwa vile wamechagua njia mbaya.Gwajima is genius.Na hasira yake tumeiona.Katumia akili hiyo hiyo kupiga stop mihemko yote kwa kili kubwa sana hwakumuelewa watu ila .Alipiga stop km mahakama vile kwa kuuliza karatasi tuu.Hadi sasa gari aiondoki. Ila ktk hii video kweli alikuwa akimwit Mungu wake kwa nguvu.Na kweli alimaliza alichotaka kusema akiwa ktk fine line.
Tukirudi ktk maombi ya jamvi.Mchungaji naomba nikugeuze kidogo kuwa YOHANA MBATIZAJI,SIO yule yohana mpiga ramli wetu. Mchungaji siku ile ukiwa umebanwa, ukiwa ktk maumivu, mbele ya kondoo waliokuwa wakikutazama km kiongozi. Ukiwa km Yesu siku ile jamaa mmoja alikatwa sikio,Yesu akalirudisha na kuwasihi wafuasi wasitumie upanga. Gwajima na wewe nilikusikia ukiwasihi waumini watulie ina macho na masikio yao yanatosha kabisa kuwaona na kuwamaliza wageni wasioalikwa. Waumini wako walivyo sharp, na wakakamavu km hukuwa makini sidhani km wale wageni wangetok ingawa wamefumbwa sana macho kuweza jua hilo .. Uliongea mengi ila kwa leo napenda kukuuliza haya. JE MANGE NI MMOJAWAPO KTK WALE WANAWAKE WALIOAMUA KUCHUKUA JUKUMU BILA SILAHA HATARI KUOKOA NCHI AMBAYO WANAUME WOTE WALISHAFYATA MKIA MBELE YA MTAWALA MWENYE NGUVU NYINGI, MAGARI YA KISASA(Magari ya farasi ya mwendo kasi na silaha za chuma enzi hizo ni kila kitu). Ulitaja wanawake wawili mmoja ni malaya tuu, mwingine ni nabii tuu, aliyewaambia wanaume waende mbele tuu,yeye atakuwa akitoa unabii na malaya alimalizia. Kwa nionavyo nikuulize tuu,JE HUYU MANGE ni yule mama Nabii. Aliyewaambia wanaume waende front na baadae mfalame akili zkafyatuka akakimbia askari na zana za kivita akakimbia hadi kwenda kuomba hifadhi kwa mwanamke malaya ambaye alimuua mfalme yule kirahisi sana? Kwa tabia za Mange ni wazi kachukua nafasi km ya yule nabii.
MTUMISHI leo nakuita YOHANA MBATIZAJI naomba km unahisi huna hakika sana muda huu,na huwezi ongea uongo hembu tuulizie kwa Mange je ni Yeye uliyemuona ktk maono siku ile ya huzuni na machungu ktk bonde la mauti?Hata Yohana mbatizaji alimbatiza Yesu ila alipokuwa gerezani alihofu na kukosa kuamini pengine hakupenda kuondoka bila kuacha njia kwa yule aliyesafishiwa.Ilibidi atume ujumbe wake kupitia mjumbe wa Yesu.Je Yesu ndie yule Masihi?
Km Mange ni mmojawapo ni wazi ushindi tutaupata kupitia huyu mwanadada. Zumari lake litamtoa nyoka pangoni.
NOTE: online-pastor kanipa nukuu Mchu alipochukua ktk andiko maandiko: Waamuzi 4
Hiyo Video inasema mengi sana.Tatizo la watz mipango yao sio makini sana.Ni ngumu sana kuwasaidia watu kwa vile wamechagua njia mbaya.Gwajima is genius.Na hasira yake tumeiona.Katumia akili hiyo hiyo kupiga stop mihemko yote kwa kili kubwa sana hwakumuelewa watu ila .Alipiga stop km mahakama vile kwa kuuliza karatasi tuu.Hadi sasa gari aiondoki. Ila ktk hii video kweli alikuwa akimwit Mungu wake kwa nguvu.Na kweli alimaliza alichotaka kusema akiwa ktk fine line.