Na hao wahindi si kwamba walikwapua mali zetu hapa? Walikuja nazo toka India? Si kwamba walitumikisha mababu zetu utumwa na kuwadhalilisha ambayo ni dhambi mbaya kuliko walivyonyang'anywa hizo mali zetu? Hawa wachungaji njaa wanaoota kila siku kwenye jamii zetu kama uyoga taabu. Hawa si wachungaji ni wawajasiriamali.I had the very similar opinions.
Umaskini tunaoupata nchini ni laana juu ya ukwapuaji wa mali za watu. Alichokifanya Nyerere ni wizi tu. Huwezi kuchukua mali za watu kwa dhulma halafu utegemee neema.
Mchungaji umenena kweli na kwa hili mimi nakuunga mkoni 100%. Utaacha nihamie kwenye channel station yako.
Kikwebo.