Mch. Fernandez amlaumu Nyerere kwa kutaifisha mali za wahindi!

Kwa hiyo ndio maana Nyerere akataifasha mali zao?
Nadhani Nyerere altaifisha makampuni ambayo kwa kiasi kikubwa yalistrive kwa sababu ya jasho la wananchi ama rasilimali zake, na kuendelea kumilikiwa na watu hao ni sawa na kuweka serikali rehani ama mfukoni mwa watu hao...

Kutokana na upepo wa Nationalism uliokuwepo kwa kipindi kile na aina ya Taifa mwalimu alilotaka kujenga, then yes, that step was a neccessary one.

Mostly mwalimu alfanya hayo for national security purposes...
 
Hamna lolote, mi naona yupo kibiashara zaidi, maana hata tv yake ya agape inatangaza POMBE aina ya HEINEKEN ambao ni official sponsors of UEFA. Hata maandiko matakatifu yanasema toa kibanzi jichoni kwako ili uweze kutoa boriti kwa mwenzio.
 
Mch Fernandez wa Agape Ministries kupitia ATN anasema mambo yanayoendelea hapa Tanzania hasa wezi unaofanywa na wawekezaji inatokana na dhambi aliyoifanya Nyerere ya kutaifisha mali za wahindi na watu wengine miaka iliyopita. anasema walichukua mali za watu bila bila ridhaa yao na bila ya kuvuja jasho, ndio maana laana ya alichofanya nyerere ndiyo inayorudi sasa kwa watu kuja kuiba raslimali zetu.

anaunganisha na maneno ya kwenye bible kuwa kama mkuu mmoja wa familia akifanya kosa, laana hiyo inaweza kusambaa na kuwafuata wazaliwa wa mbeleni.

Source ni ATN live boadcasting!

Mchungaji amesema ukweli lakini angesema si wahindi tu waliotaifishiwa nyumba na mali zao..

Mimi babu yangu (mzalendo mwafarika) alitaifishiwa shamba lake ambalo ameng'oa magogo kwa nguvu zake ekari 50..

Akanyang'anywa wakajenga kijiji na yeye akapewa ekari tano tu...

ujinga mtupu..kutoka ekari 50 hadi 5 nikurudishana kwenye umaskini wakati wangeweza kujenga kijiji kwenye mapori mengi

lakini nyerere na viongozi wenzake akili finyu wameleta umaskini mkubwa kwa wananchi wengi (wahindi na waafrika)
 
Mhindi ni mhind tu haach asili. I thought muhubili wa kihindi ni kama wengine na anajari wokovu kumbe mali mbele. He was not spiritually speaking. Af an kisasi. Kwanza muhindi anapataje mali ndani ya nchi yetu bila kuwapora wabongo. So wlitaifishwa mali walokuwa wamewaibia Watanzania. Kimsingi walirudisha walichotuibia. Huyo muhindi arejee historia ya ukoloni hususani role ya wahindi katika kuliibia taifa hili na Africa kwa ujumla. Naanza kupata was was na mahubiri yake hasa kautaratibu ka kupitisha account yake ya benk kwenye screen ya tv wakati wa mahubiri
 
Mchungaji amesema ukweli lakini angesema si wahindi tu waliotaifishiwa nyumba na mali zao..

Mimi babu yangu (mzalendo mwafarika) alitaifishiwa shamba lake ambalo ameng'oa magogo kwa nguvu zake ekari 50..

Akanyang'anywa wakajenga kijiji na yeye akapewa ekari tano tu...

ujinga mtupu..kutoka ekari 50 hadi 5 nikurudishana kwenye umaskini wakati wangeweza kujenga kijiji kwenye mapori mengi

lakini nyerere na viongozi wenzake akili finyu wameleta umaskini mkubwa kwa wananchi wengi (wahindi na waafrika)

Kijiji au mkoa gani huo miaka hiyo mtanzania tena mwafrika kwa kutumia nguvu zake mwenyewe awe na ekari 50. huu ni uzushi.

Alfu Yaani kusimamisha familia moja kujiliimbikizia utajiri kwa manufaa ya familia nyingine 20 ni ujinga? lol
 
Mchungaji amesema ukweli lakini angesema si wahindi tu waliotaifishiwa nyumba na mali zao..

Mimi babu yangu (mzalendo mwafarika) alitaifishiwa shamba lake ambalo ameng'oa magogo kwa nguvu zake ekari 50..

Akanyang'anywa wakajenga kijiji na yeye akapewa ekari tano tu...

ujinga mtupu..kutoka ekari 50 hadi 5 nikurudishana kwenye umaskini wakati wangeweza kujenga kijiji kwenye mapori mengi

lakini nyerere na viongozi wenzake akili finyu wameleta umaskini mkubwa kwa wananchi wengi (wahindi na waafrika)

nadhani alimaanisha watu wote waliotaifishwa mali ikiwemo watu weusi. Hivi baadhi ya nyumba walizotaifishwa wahindi si ndio zile ambazo ni NHC? Sasa kama ndio hivyo, mbona tu bdo zinakaliwa na wahindi kwa kodi kiduchu? Nadhan wahind wanalipiza ktendo cha kutaifishwa kwa kuwanyanyasa watz kwenye viwanda vyao. Pia wanalipiza kwa kununua viwanda vyetu na kuviua kama ilivyotokea kule lindi na mtwara kwenye viwanda vya kubangua korosho.
 
mwizi mkubwa huyo kutwa kwenye tv yake anahimiza sadaka/matoleo, cjui hilo kanisa lake alilisajiri ili kumtukuza bwana yesu au kukusanya fedha za walalahoi!?
 
Kijiji au mkoa gani huo miaka hiyo mtanzania tena mwafrika kwa kutumia nguvu zake mwenyewe awe na ekari 50. huu ni uzushi.

Alfu Yaani kusimamisha familia moja kujiliimbikizia utajiri kwa manufaa ya familia nyingine 20 ni ujinga? lol

Waafrika walikuwa wana zaidi ya ekari zaidi ya 100 na kuendelea na walikuwa wanatumia matrekata kulima na kuzalisha chakula kingi tu..mashamba mengi yalitaifishwa wakayafanya makazi ya watu ...wakawapa wenye mashamba hayo eti ekari tano kila mtu ili tuwe sawa..lol

Kama hufahamu nenda kijiji kinaitwa Gallapo kipo Babati uliza mzee Isdori, Mzee Akonaay, wallikuwa na ekari ngapi na walikuwa na trekta ngapi kabla ya nyerere kuja na sera za kipuuzi na kuwafanya wazee hawa wazalendo waafrika kuwa maskini mkubwa na hata kuleta njaa kwa taifa..lol

Tulifungua kesi mahakamani harrasment tuliyopa Mungu ndio anajua, acheni na dhulma alizofanya nyerere...alifikiri hawezi kufa..
 
Hivi ATN huwa wanalipa kodi zote wanazodaiwa? Ngoja nicheck na Kitilya alafu ndo nirudi kuchangia

Mch Fernandez wa Agape Ministries kupitia ATN anasema mambo yanayoendelea hapa Tanzania hasa wezi unaofanywa na wawekezaji inatokana na dhambi aliyoifanya Nyerere ya kutaifisha mali za wahindi na watu wengine miaka iliyopita. anasema walichukua mali za watu bila bila ridhaa yao na bila ya kuvuja jasho, ndio maana laana ya alichofanya nyerere ndiyo inayorudi sasa kwa watu kuja kuiba raslimali zetu.

anaunganisha na maneno ya kwenye bible kuwa kama mkuu mmoja wa familia akifanya kosa, laana hiyo inaweza kusambaa na kuwafuata wazaliwa wa mbeleni.

Source ni ATN live boadcasting!
 
Alichoongea Mch Fernandez(Mgoa wa Tanga) ni sahihi kabisa!
sera ya kutahifisha ilikuwa haina Mpango Mkakati ndio mana Ilishindwa!Hapa tunazungumzia kwa mali zote!Ziwe za Wahindi au Makanisa!
 
Hivi ule mgogoro wa kiwanja "kati" yake na Kanda sekondari Manispaa ya Sumbawanga umeishaje? Maana eneo lile anabughudhi wanafunzi kwa "kelele" wakati wa maombi.
 
Waafrika walikuwa wana zaidi ya ekari zaidi ya 100 na kuendelea na walikuwa wanatumia matrekata kulima na kuzalisha chakula kingi tu..mashamba mengi yalitaifishwa wakayafanya makazi ya watu ...wakawapa wenye mashamba hayo eti ekari tano kila mtu ili tuwe sawa..lol

Kama hufahamu nenda kijiji kinaitwa Gallapo kipo Babati uliza mzee Isdori, Mzee Akonaay, wallikuwa na ekari ngapi na walikuwa na trekta ngapi kabla ya nyerere kuja na sera za kipuuzi na kuwafanya wazee hawa wazalendo waafrika kuwa maskini mkubwa na hata kuleta njaa kwa taifa..lol

Tulifungua kesi mahakamani harrasment tuliyopa Mungu ndio anajua, acheni na dhulma alizofanya nyerere...alifikiri hawezi kufa..
Kumbe mzee mzee Isdori, Mzee Akonaay ni babu zako.
kweli nyerere aliwanyanyasa wezee wetu wa arusha
 
Mch Fernandez wa Agape Ministries kupitia ATN anasema mambo yanayoendelea hapa Tanzania hasa wezi unaofanywa na wawekezaji inatokana na dhambi aliyoifanya Nyerere ya kutaifisha mali za wahindi na watu wengine miaka iliyopita. anasema walichukua mali za watu bila bila ridhaa yao na bila ya kuvuja jasho, ndio maana laana ya alichofanya nyerere ndiyo inayorudi sasa kwa watu kuja kuiba raslimali zetu.

anaunganisha na maneno ya kwenye bible kuwa kama mkuu mmoja wa familia akifanya kosa, laana hiyo inaweza kusambaa na kuwafuata wazaliwa wa mbeleni.

Source ni ATN live boadcasting!

Kweli shetani mbaya...huyu nae kaanza kuvamia siasa? halafu huyu sio magamba,uwa kauli zake ni za kupinga ufisadi na kuwaonya viongozi waliopo madarakani..nakumbuka kuna speech yake moja alikuwa anazungumzia viongozi wanaosema Tanzania ni maskini wanamkufuru Mungu,mbona tuna maliasili za kutosha?
 
Mch Fernandez wa Agape Ministries kupitia ATN anasema mambo yanayoendelea hapa Tanzania hasa wezi unaofanywa na wawekezaji inatokana na dhambi aliyoifanya Nyerere ya kutaifisha mali za wahindi na watu wengine miaka iliyopita. anasema walichukua mali za watu bila bila ridhaa yao na bila ya kuvuja jasho, ndio maana laana ya alichofanya nyerere ndiyo inayorudi sasa kwa watu kuja kuiba raslimali zetu.

anaunganisha na maneno ya kwenye bible kuwa kama mkuu mmoja wa familia akifanya kosa, laana hiyo inaweza kusambaa na kuwafuata wazaliwa wa mbeleni.

Source ni ATN live boadcasting!

Asituchefue huyu, hapa sio kwake kwake/kwao ni India!!! Najua nitaambiwa mbaguzi, lakini ukweli ni huo yeye ni mhindi na Africa wanakaa weusi ukiacha North Africa. Wapo hapa kwa vile tumekubali yaishe. Wahindi wametuibia raslimali ngapi, wamewaibia mababu zetu huko utumwani lakini bado tupo nao. Asitutibue tukafikiri mengi ya nyuma!!!
 
I had the very similar opinions.

Umaskini tunaoupata nchini ni laana juu ya ukwapuaji wa mali za watu. Alichokifanya Nyerere ni wizi tu. Huwezi kuchukua mali za watu kwa dhulma halafu utegemee neema{/B].

Mchungaji umenena kweli na kwa hili mimi nakuunga mkoni 100%. Utaacha nihamie kwenye channel station yako.

Kikwebo.


Alichofanya Yoshua mwana wa Nuni kuipiga na kuiteka miji ya wahiti, wakanani, wayebusi... nayo ilikuwa dhuruma?
Je! Waisraeli wote wako katika laana kwasababu kwanza walichukua mali za wamisri pia walichukua ardhi na mali za wenyeji wa Kanaani?
 
Alichoongea Mch Fernandez(Mgoa wa Tanga) ni sahihi kabisa!
sera ya kutahifisha ilikuwa haina Mpango Mkakati ndio mana Ilishindwa!Hapa tunazungumzia kwa mali zote!Ziwe za Wahindi au Makanisa!

Kwanini unakuwa mvivu wa kuelewa nini kinachozubgumziwa unakimbilia kwenye keyboard ku-type maroroso? Just two paragraphs you fail to understand? Aaagh!

Hivi ni kweli na wewe katika akili zako unaamini kuwa kuibiwa huku tunakofanyiwa na wahindi, waarabu, waburushi, wazungu, na wamatumbi ni kwasababu Nyerere alitaifisha mali za watu (mabepari), then we are gaining the consequences?

Tukubali kuwa wizi wa EPA ni kwasababu tulitaifisha mabenki?

Hapana. Sijawa mvivu wa kufikiri kiasi hiki.
 
Bado sijapata jibu ya sababu zilizopelekea Nyerere kutaifisha hizo nyumba. Mwenye kujua sababu tafadhali atiririke
 
Huyo mhindi ana akili mbovu kabisa.Kwanza angechukuliwa hatua kwa kauli hiyo maana ametoka nje ya kilicho mleta (Siasa Vs Dini).
Wahindi kipindi cha ukoloni walipewa daraja la pili na walifanya bishara huku watanzania wakiwa daraja la tatu wakitumikishwa na hawakuruhusiwa kufanya biashara wala kufanya uzalishaji wowote.
Hata hao wahindi waliopo hapa wanawekeza nje ya Tanzania wakipata pesa nyingi na wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe huku wakihujumu uchumi wa nchi hii.Kwenye makampuni yao utawakuta wao wenyewe kwenye post za juu huku wazawa wakiwa vibarua.
Foolish!
 
Waswahili husema ukimzoea sana Mbwa atakufuata hadi msikitini! Huyu Mhindi amefika hatua ya kuwa analyst wa siasa zetu sasa! Yaani keshawanyonya waumini wake maskini hajatosheka, kajifanya mtume na nabii hatujasema, mkewe ndo mchungaji kiongozi hatujasema, kabadilika kutoka uhubiri mpaka uwekezaji hatujasema sasa anaanza kupekuwa siasa zetu! Shame on him. Anatutafuta I promise him atatupata tu.

Mbona povu .... Mkuu ...
 
Back
Top Bottom