Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
Atafwata Yule Alotwambia Tumejichafulia
teamlowassa, ukweli unabaki kuwa lowassa afya yake sio imara, hawezi kutuongoza kama taifa, tunataka rais aliye na afya imara. Tunaposema lowassa hana afya ya kutosha, sio tusi, tunasema ukweli, msichanganye madawa kuwa tunamtakia lowassa mauti, tunampenda lowassa na ametutumikia kama waziri mkuu, tunampenda sana, na tunamtakia maisha marefu sana mzee wetu, ila kiafya hayuko sawa, kazi ya urais inahitaji body & soul, iko very demanding!
naona vijana wa lowassa mnatoka nje ya mada.
Afya ya lowassa lazima tuiongelee, mtake msitake, anagombea urais na anaonekana hayupo na afya ya kutosha ukilinganisha na wagombea wengine.
lazima tuseme na nyie ni watu wazima mjifunze hata ukubwani sio mbaya, mjifunze kusikia msiyoyapenda.
Ikulu sio icu-mtikila
hebu FaizaFoxy njoo urudie maneno yako pendwa hapa
hii dunia mapito anakufa mmoko mmoko tu
r.i.p rev
Pamoja na cautions zako zote hizo..ila na wewe ukawepa RIP!Umeshathibitisha?
Mkuu asante kutuletea hii taarifa na kuifanya jf iendelea kuwa chaneli ya be the first to know, lakini habari kama hizi za vifo, hazipaswi kutolewa bila verification!.
Vifo vinavyotokana na ajali, verification hufanya na competent authorities kama medical doctor au polisi na sio mashuhuda!.
Mode: Tuwe makini sana!.
Kama ni kweli
Mode nakuomba uzifunge rasmi thread zangu hizi
Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100! -
Mtikila Kutinga Arumeru!. Adaiw Shetani ni Afadhali Kuliko .
Kitendo Cha Rev. Mtikila Kugomea Arrest!, Kinastahili Pongezi
RIP Mchungaji Mtikila.
Pasco
Mungu hapendi mzaha kwani yeye ndiye humpa mja wake afya na maradhi kwa hiyo basi kifo chake ni fundisho kwa wengine km akina Mwigulu et el.
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
TCRA is watching u...
TEAMLOWASSA, ukweli unabaki kuwa Lowassa afya yake sio imara, HAWEZI KUTUONGOZA kama taifa, tunataka rais aliye na AFYA imara. TUNAPOSEMA LOWASSA HANA AFYA YA KUTOSHA, sio tusi, tunasema UKWELI, msichanganye madawa kuwa tunamtakia Lowassa mauti, Tunampenda Lowassa na ametutumikia kama waziri mkuu, TUNAMPENDA SANA, na tunamtakia maisha marefu sana mzee wetu, ila KIAFYA HAYUKO SAWA, kazi ya urais inahitaji body & Soul, iko very demanding!
Naona Vijana wa Lowassa mnatoka nje ya mada.
AFYA YA LOWASSA LAZIMA TUIONGELEE, mtake msitake, anagombea urais na anaonekana hayupo na afya ya kutosha ukilinganisha na wagombea wengine.
LAZIMA TUSEME na nyie ni watu wazima mjifunze hata ukubwani sio mbaya, mjifunze kusikia msiyoyapenda.
Vipi Celina Combani? Hata yeye alisema bora Lowasa kahama ili akafie Chadema.. Na kifo chake kichunguzwe pia?
Heri wafao kabla ya lowasa kwani wamekufa kwa ajali na ajali haina kinga. Hii ni tofauti na kumuingiza mgonjwa ikulu kwani hilo lina kinga. Ya sababu gani kuendelea kuishi na ugonjwa huku ukipigania kuingia ikulu kwenye mlima wa majukumu badala ya kupigania afya yako? Je siyo kwamba unakimbia ikulu kwa ajili ya kuweka mazingira mazuri ya kulinda mali zako zenye maswali meeeengiiii?
Ukawa mnatisha, kumbe ndiyo maana Dr. Slaa alihama nyumba baada ya vitisho vyenu. Anawajueni, mtie ila yeye alizoea kuwashambulia CCM Waungwana.