ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
kweli shem mzuri ila sio kwa hizo sifa, rangi tu na wigi ndio vinamsitiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni chizi ulimbukeni pekee haumtoshi......yule dada nae mwehu unakaa na janaume linalialia msiiieewNaona hii couple ikivunjika muda si mrefu...
Pamoja na Mc pilipili kuwa na uzoefu wa hizi mambo ya mahusiano, lkn namuona bado ni mlimbukeni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Baby,Ni chizi ulimbukeni pekee haumtoshi......yule dada nae mwehu unakaa na janaume linalialia msiiieew
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana!Wakuu
Kamati ya wana apolo imekaa na kujizatiti kumfundisha adabu mc pili pili kwa kufanya makosa yafuatayo
1.kutangaza mahari ya mchumba wake kua ni milioni nane ambazo anaona ni nyingi na tena anadaiwa hizo milioni tatu
2.kitendo cha kulia hiki kimefanya kikao chetu kuamua na kuazimia yafuatayo.
Kwanza inabidi mtoto yule apate mwana apolo ili atulie, hivo huyu jamaa hafai kukaa na ile shepu maana atakua analia kila siku.
Aendelee kufanya media tour maana iko siku atazunguka peke yake kwenye hizo media huku mtoto akiwa na wana apolo.
Mtoto mzuri yule anatakiwa apate mwanaume na sio mtoto wa kiume kutoka Dodoma.
Mkuu kama hutojali unaweza kuipandisha hapa picha ya huyo mwanamke wake?
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Unaitaka mama?Kamati ya roho mbaya kazini
Mrushie tu japo 1 jamaa aridhikePicha zipo za kutosha,angalia nyuzi zinazomhusu pilipili utamuona huyo mwanamke
Ila.mangi aisee.kutoa mahari milioni 8 aisee ni uharibifu wa pesa. Max ingekuwa 2m! Nyingine awekezeNaona hii couple ikivunjika muda si mrefu...
Pamoja na Mc pilipili kuwa na uzoefu wa hizi mambo ya mahusiano, lkn namuona bado ni mlimbukeni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Atapata tabu sana.kumgegeda kama.kweli alilia akimaanishaKajamaa kashamba sijui kalizoea mademu wa lachaz maana kama kawehuka na demu yeye kamuona mkali wakati hana ukali wowote
Mkuu kwema?
Mkuu nahitaji msaada tutani, unanisaidiaje?
Mkuu unaweza kuta ni drama hizo,Ila.mangi aisee.kutoa mahari milioni 8 aisee ni uharibifu wa pesa. Max ingekuwa 2m! Nyingine awekeze