Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitanganyika ndivyo tulivyo mkuu, hatuwezi furahis kuona mwenzetu anatusua na kusifiwa. Hapa uzi ungekua unasema Eric Omondi au Kevin Hart ndo magwiji wa kuchekesha wote wangekuja kusifia ila sababu ni pilipili mtanzania mwenzetu ambaye tunamfahamu hatuwezi vumilia kuona anasifiwa. Kama ambavyo hatupendi kuona Dayamondi anaendelea, Hakuna uchawi zaidi ya huu
Wewe unataka tushangilie nakuvikuza ata vile ambavyo bado havijafika uko.anayestahili kupewa sifa stahiki atapewa asiyestahili lazima aambiwe ukweli ili aongeze bidii.aya mambo yakusifiana kwenye hakuna ndo unafiki wenyewe na ndo maana hatufiki mbali kwenye mambo yetu.Watanzania tuna roho mbaya sana.....tumetawaliwa na mawazo hasi ambayo yanatufanya tuamini katika kushindwa siku zote....
Mawazo hayo hasi yanatufanya tuwe na fikra mgando kiasi kwamba tunayaona mafanikio ni kitu cha ajabu sana......
Nafsi zetu hazipendi kuona mtu akifanikiwa kwa jambo lolote lile..tutafanya kila njia ili tumuangushe aliyefanikiwa.....badala ya kumtia moyo...
Hata hao wanaokutia moyo sio kwa dhati kutoka kwenye nafsi zao kwani hao hao ndio wanakuwa watu wa kwanza kukusengenya pindi mambo yatakapokuendea kombo.......
Chuki na husda zinakuwa kali zaidi hasa mafanikio hayo yakiwa yanahusisha MTANZANIA MWENZETU......
NB;
Wewe unataka tushangilie nakuvikuza ata vile ambavyo bado havijafika uko.anayestahili kupewa sifa stahiki atapewa asiyestahili lazima aambiwe ukweli ili aongeze bidii.aya mambo yakusifiana kwenye hakuna ndo unafiki wenyewe na ndo maana hatufiki mbali kwenye mambo yetu.
Gwiji la vichekesho duniani aki-perofrm London
Kama kawaida yako kukurupuka na hoja isio na mashiko!! soma tena comment yangu na uielewa,mleta mada ndio amedai kua Mc pilipili ni gwiji la vichekesho duniani,so alitakiwa alete uthibitisho wa madai yake,jaribu kua muelewa.Kama mashindano ya kumtafuta gwiji hayajawahi kufanyika sasa unapinga nini mleta uzi kudai pilipili ndio gwiji? Kwako wewe gwiji ni nani na alishinda wapi hadi kuvikwa ugwiji
Usilazimishe watu wote kupenda unavyovipenda wewe,hatufanani.Mitanganyika ndivyo tulivyo mkuu, hatuwezi furahis kuona mwenzetu anatusua na kusifiwa. Hapa uzi ungekua unasema Eric Omondi au Kevin Hart ndo magwiji wa kuchekesha wote wangekuja kusifia ila sababu ni pilipili mtanzania mwenzetu ambaye tunamfahamu hatuwezi vumilia kuona anasifiwa. Kama ambavyo hatupendi kuona Dayamondi anaendelea, Hakuna uchawi zaidi ya huu
Hapo kwenye red,mkuu kwa mujibu wa mleta mada huyo Mc pilipili tayari ni gwiji la vichekesho duniani.Uwa nakukubali sana classmate wangu tokea primary K/NDEGE adi secondary DOMSEC... MUNGU azid kukucmamia boy n nna iman unakoelekea kuna kila dalili ya ww kufika mbali zaid ya apo ulipo....
Sema ckuiz kigogo hautupiag ima kam enz zileee.... Kila lakheri boy
Post sent using JamiiForums mobile app
Usilazimishe watu wote kupenda unavyovipenda wewe,hatufanani.
Kama mashindano hayajawahi kufanyika na kupata mshindi Ina maana Hakuna mchekeshaji anaweza kuclaim title ya gwiji Duniani, na yeyote yule anaweza kuclaim title hiyo vile vile since Hakuna mashindano ya kumpata gwiji. So mleta mada yupo sawa. Acha kukurupukaKama kawaida yako kukurupuka na hoja isio na mashiko!! soma tena comment yangu na uielewa,mleta mada ndio amedai kua Mc pilipili ni gwiji la vichekesho duniani,so alitakiwa alete uthibitisho wa madai yake,jaribu kua muelewa.
Nchi hii tumejaliwa sana mkuu! Hata Rais hujasikia wanasema ni bora kuliko wote duniani?Gwiji la vichekesho duniani
Post sent using JamiiForums mobile app
Gwiji la vichekesho duniani aki-perofrm London
Mitanganyika ndivyo tulivyo mkuu, hatuwezi furahis kuona mwenzetu anatusua na kusifiwa. Hapa uzi ungekua unasema Eric Omondi au Kevin Hart ndo magwiji wa kuchekesha wote wangekuja kusifia ila sababu ni pilipili mtanzania mwenzetu ambaye tunamfahamu hatuwezi vumilia kuona anasifiwa. Kama ambavyo hatupendi kuona Dayamondi anaendelea, Hakuna uchawi zaidi ya huu
Sina tatizo na maoni yako na nakubaliana na wewe kwamba Joti ni bora, matter of fact, Joti ni moja ya wachekeshaji bora kabisa duniani kwa mtazamo wangu Mimi.Bila kupepesa macho. Mc pilipil hajui kuchekesha. HAJUI NA HAWEZ CHEKESHA WATU WENYE AKILI. 1000 JOTI NI best 1000 Times kwa huyo pilipili.