Gwiji la vichekesho dunianiHongera sana Gwiji toka Tanzania
mihemko namna gani ndugu? GWIJI akichekesha inabidi kutulia acha zako hizooommmh, sasa Sijui Mr bin atakua nani.... dogo anajitahid sana ila habari umeleta kwa mihemko...hongera pilipili
kahamia tandale si kuna kipindi alinunua nyumba ufukweni mwa bahari?Teh teh teh, labda GWIJI la Tandale
ha ha ha...sijakana unachilokisema mkuu Sema neno gwiji duniani limemzidi umri dogo pilipili. all in all twamtakia herimihemko namna gani ndugu? GWIJI akichekesha inabidi kutulia acha zako hizooo
wewe binafsi umefikia ngazi gani mpaka sasa?Bado sana kufikia ngazi hiyo!!
Alijua mwisho wao akawatumia kama big GSi wamtafute BASI-HIT-E awaombee msamaha wa kodi?
Ugwiji kumbe imekuwa rahisi tu Luna siku mtasema gwiji LA rap harmorapaGwiji la vichekesho duniani
Post sent using JamiiForums mobile app
Kubali mawazo ya nje ya box anajitahidi Ila hajawa gwijiwewe binafsi umefikia ngazi gani mpaka sasa?
jibu swali acha kubwabwaja bwabwaja ka mbwigaKubali mawazo ya nje ya box anajitahidi Ila hajawa gwiji
Post sent using JamiiForums mobile app
Kama mashindano ya kumtafuta gwiji hayajawahi kufanyika sasa unapinga nini mleta uzi kudai pilipili ndio gwiji? Kwako wewe gwiji ni nani na alishinda wapi hadi kuvikwa ugwijiHayo mashindano yalifanyika wapi na lini? mpaka yeye ndio akashinda na kutambuliwa kua ndio Gwiji la vichekesho duniani? bila shaka mleta mada ndio Mc pilipili mwenyewe umekuja kujipigia debe humu!
Unajitahidi but hiyo level ya ugwiji duniani bado hujaifikia.
Mitanganyika ndivyo tulivyo mkuu, hatuwezi furahis kuona mwenzetu anatusua na kusifiwa. Hapa uzi ungekua unasema Eric Omondi au Kevin Hart ndo magwiji wa kuchekesha wote wangekuja kusifia ila sababu ni pilipili mtanzania mwenzetu ambaye tunamfahamu hatuwezi vumilia kuona anasifiwa. Kama ambavyo hatupendi kuona Dayamondi anaendelea, Hakuna uchawi zaidi ya huuWatanzania tuna roho mbaya sana.....tumetawaliwa na mawazo hasi ambayo yanatufanya tuamini katika kushindwa siku zote....
Mawazo hayo hasi yanatufanya tuwe na fikra mgando kiasi kwamba tunayaona mafanikio ni kitu cha ajabu sana......
Nafsi zetu hazipendi kuona mtu akifanikiwa kwa jambo lolote lile..tutafanya kila njia ili tumuangushe aliyefanikiwa.....badala ya kumtia moyo...
Hata hao wanaokutia moyo sio kwa dhati kutoka kwenye nafsi zao kwani hao hao ndio wanakuwa watu wa kwanza kukusengenya pindi mambo yatakapokuendea kombo.......
Chuki na husda zinakuwa kali zaidi hasa mafanikio hayo yakiwa yanahusisha MTANZANIA MWENZETU......
NB;