MC Aitoroka Harusi Msasani!

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
266
Kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, Juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya mshikaji ilifanyika pale Msasani Club. Ilikuwa ni harusi nzuri imeandaliwa kwa mda mrefu. Lilitokea tukio la ajabu sana kwani MC wa Shughuli hiyo ambaye anaitwa MC ( Jina kapuni) hakuonekana (aliingia mitini). Cha ajabu zaidi akawa hapokei simu na ukimpigia simu anaandika msg (kwa namba xxxx) na (xxxxx) kwamba amepata dharura ameenda Arusha kitu ambacho tunaamini si kweli alikuwa yupo kwenye shughuli nyingine. MC huyo tayari alikuwa ameshalipwa kiasi cha 350,000. Wananchi nimelileta hili kwenu hasa kwa wale waliopo Dar/TZ ili mjihadhari na utapeli wa aina hii. Kwa kweli sherehe nzima iliharibika japo ilibidi tutafute MC wa haraka haraka na sherehe kuanza saa mbili na nusu.
 
Kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, Juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya mshikaji ilifanyika pale Msasani Club. Ilikuwa ni harusi nzuri imeandaliwa kwa mda mrefu. Lilitokea tukio la ajabu sana kwani MC wa Shughuli hiyo ambaye anaitwa MC ( Jina kapuni) hakuonekana (aliingia mitini). Cha ajabu zaidi akawa hapokei simu na ukimpigia simu anaandika msg (kwa namba xxxx) na (xxxxx) kwamba amepata dharura ameenda Arusha kitu ambacho tunaamini si kweli alikuwa yupo kwenye shughuli nyingine. MC huyo tayari alikuwa ameshalipwa kiasi cha 350,000. Wananchi nimelileta hili kwenu hasa kwa wale waliopo Dar/TZ ili mjihadhari na utapeli wa aina hii. Kwa kweli sherehe nzima iliharibika japo ilibidi tutafute MC wa haraka haraka na sherehe kuanza saa mbili na nusu.
Kamateni huyo na mumsweke ndani ili awe na nidhamu na kazi yake
 
Kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, Juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya mshikaji ilifanyika pale Msasani Club. Ilikuwa ni harusi nzuri imeandaliwa kwa mda mrefu. Lilitokea tukio la ajabu sana kwani MC wa Shughuli hiyo ambaye anaitwa MC ( Jina kapuni) hakuonekana (aliingia mitini). Cha ajabu zaidi akawa hapokei simu na ukimpigia simu anaandika msg (kwa namba xxxx) na (xxxxx) kwamba amepata dharura ameenda Arusha kitu ambacho tunaamini si kweli alikuwa yupo kwenye shughuli nyingine. MC huyo tayari alikuwa ameshalipwa kiasi cha 350,000. Wananchi nimelileta hili kwenu hasa kwa wale waliopo Dar/TZ ili mjihadhari na utapeli wa aina hii. Kwa kweli sherehe nzima iliharibika japo ilibidi tutafute MC wa haraka haraka na sherehe kuanza saa mbili na nusu.
kilimasera, najua umelihifadhi jina lake, ili kuilinda hadhi yake kwa kutumia kipengele cha the right to privacy.

Hata kama sio mtumishi wa umma, yaani you are not public servant, therefore you are not paid by taxpayers money, lakini kwa kazi kama za MC, unalipwa na michango ya wanachi, hivyo ma MC wote ni public figure paid by public money, hivyo ile cover ya the right to privacy inakuwa haipo, hivyo the public has the right to know, their public as well as their private life kwa sababu analipwa na pesa zao.

Hivyo nakuomba umtaje kwa jina, ili kumsaidia, ama abadili katabia hako, ama kuwa-alet wengine waliomline-up kwa sherehe zao wajiandae kwa no show mapema.
 
kilimasera, najua umelihifadhi jina lake, ili kuilinda hadhi yake kwa kutumia kipengele cha the right to privacy.

Hata kama sio mtumishi wa umma, yaani you are not public servant, therefore you are not paid by taxpayers money, lakini kwa kazi kama za MC, unalipwa na michango ya wanachi, hivyo ma MC wote ni public figure paid by public money, hivyo ile cover ya the right to privacy inakuwa haipo, hivyo the public has the right to know, their public as well as their private life kwa sababu analipwa na pesa zao.

Hivyo nakuomba umtaje kwa jina, ili kumsaidia, ama abadili katabia hako, ama kuwa-alet wengine waliomline-up kwa sherehe zao wajiandae kwa no show mapema.

naunga mkono hoja. atajwe, otherwise kilimasera unaweza kushtakiwa kwa kuihadaa jf
 
acha kutu enjoy wewe . kama ulitaka tujiadhari ungeweka jina lake hadharani . sepa zako una maana .
 
Kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, Juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya mshikaji ilifanyika pale Msasani Club. Ilikuwa ni harusi nzuri imeandaliwa kwa mda mrefu. Lilitokea tukio la ajabu sana kwani MC wa Shughuli hiyo ambaye anaitwa MC ( Jina kapuni) hakuonekana (aliingia mitini). Cha ajabu zaidi akawa hapokei simu na ukimpigia simu anaandika msg (kwa namba xxxx) na (xxxxx) kwamba amepata dharura ameenda Arusha kitu ambacho tunaamini si kweli alikuwa yupo kwenye shughuli nyingine. MC huyo tayari alikuwa ameshalipwa kiasi cha 350,000. Wananchi nimelileta hili kwenu hasa kwa wale waliopo Dar/TZ ili mjihadhari na utapeli wa aina hii. Kwa kweli sherehe nzima iliharibika japo ilibidi tutafute MC wa haraka haraka na sherehe kuanza saa mbili na nusu.

we utakuwa muongo! unaomba msaada gani wakati mtu mwenyewe hutaki kumtaja! sasa unamtadharisha nani wakati huyo uliyemficha jina anatarajia kuwa MC this weekend ktk harusi nyingine. Au kama ni hivyo yawezekana kamati ilisahau kuweka mc ndipo mkaamua kusingizia hajatokea. Please mtaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaje......! kama una nia ya kututaadharisha
 
Sasa unasema tujihadhari nae tutamjuaje?? wengine tuna harusi za ndugu zetu hivi karibuni.
 
Kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, Juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya mshikaji ilifanyika pale Msasani Club. Ilikuwa ni harusi nzuri imeandaliwa kwa mda mrefu. Lilitokea tukio la ajabu sana kwani MC wa Shughuli hiyo ambaye anaitwa MC ( Jina kapuni) hakuonekana (aliingia mitini). Cha ajabu zaidi akawa hapokei simu na ukimpigia simu anaandika msg (kwa namba xxxx) na (xxxxx) kwamba amepata dharura ameenda Arusha kitu ambacho tunaamini si kweli alikuwa yupo kwenye shughuli nyingine. MC huyo tayari alikuwa ameshalipwa kiasi cha 350,000. Wananchi nimelileta hili kwenu hasa kwa wale waliopo Dar/TZ ili mjihadhari na utapeli wa aina hii. Kwa kweli sherehe nzima iliharibika japo ilibidi tutafute MC wa haraka haraka na sherehe kuanza saa mbili na nusu.

Waijua falsafa ya JF...?
 
tehe tehe, kweli hii ni thred ya vitimbi, MC kasepa, hapa nafikiri best man alikamata mic na kuchana
serious thing!
 
kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya mshikaji ilifanyika pale msasani club. Ilikuwa ni harusi nzuri imeandaliwa kwa mda mrefu. Lilitokea tukio la ajabu sana kwani mc wa shughuli hiyo ambaye anaitwa mc ( jina kapuni) hakuonekana (aliingia mitini). Cha ajabu zaidi akawa hapokei simu na ukimpigia simu anaandika msg (kwa namba xxxx) na (xxxxx) kwamba amepata dharura ameenda arusha kitu ambacho tunaamini si kweli alikuwa yupo kwenye shughuli nyingine. Mc huyo tayari alikuwa ameshalipwa kiasi cha 350,000. Wananchi nimelileta hili kwenu hasa kwa wale waliopo dar/tz ili mjihadhari na utapeli wa aina hii. Kwa kweli sherehe nzima iliharibika japo ilibidi tutafute mc wa haraka haraka na sherehe kuanza saa mbili na nusu.

kama ulikuwa kweli unataka kuwatahadhalisha watu ungeweka jina na namba zake za simu hapa, ila kwa kuwa wewe ni muongo unaleta blah blah..sasa usipoweka namba na jina lake tutajihadhali vipi?? Unaanzaje kujihadhali na jambo usilolijua..acha ukuda wewe..weka jina lake na namba za simu hapa au lah tokomea mwehu wee!!
 
Angalieni post ipo kwenye forum gani sijasepa masela nawasikilizia tu wana mna hasira!!tulizeni mpira bas!
kama ulikuwa kweli unataka kuwatahadhalisha watu ungeweka jina na namba zake za simu hapa, ila kwa kuwa wewe ni muongo unaleta blah blah..sasa usipoweka namba na jina lake tutajihadhali vipi?? Unaanzaje kujihadhali na jambo usilolijua..acha ukuda wewe..weka jina lake na namba za simu hapa au lah tokomea mwehu wee!!
 
Kama humtaji jina utakuwa hujatusaidia, bora usingesimulia hicho kisa. Au hiyo habari sio yako originally, umefanya plagiarism.
 
kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya mshikaji ilifanyika pale msasani club. Ilikuwa ni harusi nzuri imeandaliwa kwa mda mrefu. Lilitokea tukio la ajabu sana kwani mc wa shughuli hiyo ambaye anaitwa mc ( jina kapuni) hakuonekana (aliingia mitini). Cha ajabu zaidi akawa hapokei simu na ukimpigia simu anaandika msg (kwa namba xxxx) na (xxxxx) kwamba amepata dharura ameenda arusha kitu ambacho tunaamini si kweli alikuwa yupo kwenye shughuli nyingine. Mc huyo tayari alikuwa ameshalipwa kiasi cha 350,000. Wananchi nimelileta hili kwenu hasa kwa wale waliopo dar/tz ili mjihadhari na utapeli wa aina hii. Kwa kweli sherehe nzima iliharibika japo ilibidi tutafute mc wa haraka haraka na sherehe kuanza saa mbili na nusu.

haya ni marudio ya mama na mwana binafsi nimeshaleta mara mbili mada hizi za utapeli wa ma mc;kwanza msifanye kosa tena kumpa hela nyingi hivyo hiyo ndio inamtia kiburi akipata dili la ikulu anawakimbia ....anyway ikitokea kama hivi msiumize sana kichwa wanandoa wakae waulizane kulikoni kuna nini wakati mwingine kila jambo lina sababu zake uwezi jua kwa nini mungu kakubali hivi itokee..polen sana sana wapendwa
 
We mc thamini kazi yako .Na wewe unayetoa taarifa ikamilishe acha kuchakachua mtaje .............................................................................
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom