Mbwete Na Vioja Vyake Open University Of Tanzania

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Ndugu wapenzi ni masikitiko yangu sana kuandika hivi kwa kumjulisha ama kumsaidia prof anaependwa sana na watu wengi kwa vioja vinavyotendeka pale chuoni kwake..niliskitika sana kusoma taarifa kwamba wanafunzi wa sheria wafutiwa mtihani iitwao test -1,kisa kuonekana na mwanamke mmoja akisoma na kuandika majibu ya mtihani uliofanywa siku hiyo,,,,baada ya kubanwa akajibu ni mwalimu wa somo ndie aliempa mtihani na kumsaidia kumpa majibu

hakuna aliefikiria hili na nafikiri ama kupata washauri wabovu ama kwa kutojua lile analolijua,,,mhe proftungependa kukusaidia kwa hili sisi ni wanafunzi wa sheria mtihani tutarudia kama unavyotaka na weka mgumu utakavyo...imefika wakati kabla ya kuchukua sheria ili uonekanae jua tatizo ni nnini!!!!!mimi nili tamani kusikia ama kutokana na kutajwa mwalimu ungewaita wote kuwauliza tatizo nini???????
kwa taarifa yako hakuna mtihanai hata mmoja ambao haukuonekana labda wa fbm na baadhi yao ilikuwepo kama kawa..lengo letu si kutaja hayo ni kukusaidia kuondokana na matatizo kama haya..ni ukweli halisi mitihani ya kila sehemu imeonekana na lbda ya BBA na baadhi ilikuwepo...na ilitokea kwa walimu wenyewe wakiwa na majibu kamili...sasa wewe kama prof ulitaka kwa nini asiingie nalo kama anapewa na mhusika..means alikuwa anajua anaweza kutoa hela kwa walimu wasimamizi kumsaidia pia..tatizo la huyu dada akupata mtu wa kumshauri..labda tukusaidie na kwa wengie jamani mbinu hizi zipo kila chuo ...ukiona fungameza anasogelea watu ogopa wewe tu usiemjua ama hukuongea nao wengine wanapeta ndgu..yaani unatafuta nani anasimamia piga simu rekebisha ama kwa dollr au hela ya mafuta ya gari!!!anakuja kukuzunguzunguka mpaka unamaliza mtihani hiyo ndio hali halisi na ndio wanawake wengi wa chuo badala ya kushindwa kutoa hela wanatoa mapenza kwa maprofesa wa mlimani..unashngaa mbona amenigandia hapa kwa wale wa pembeni kumbe mtu analindwa

kwako PROF MBWETE!!!!MUDA BADO WA KUJISAFISHA EPA BADO INASAFISHIKA IJE WEWE!!!!!KAA NA WALIMU WAKO ULIZA TATIZO LIKO WAPI USIWAHUKUMU WANAFUNZI MAPEMA MBONA KWENYE COPY MMAJITAHIDI KUBANA BAADA YA MADHARA YA MWAKA JANA!!!AIWEZEKANI MWALIMU ANAAHIDIWA KUPIGIWA SAKAFU YA NYUMBA YAKE NA MWINGINE ANAKUJA NA HELA ZA KULETA UMEME HUKU AKIKUPA NAMBA ZA MAMAYAKE PALE TANESCO UENDE AUKPEWE NGUZO ZA UMEME NA MWINGINE AKIHAIDI BATI NIACHE KUGAWA MTIHANI..LABDA KWA TAARIFA WENGINE TUNAMALIZIA KUWEKA TILES ZA CHINI KWA MWALIMU MMOJA WA SOMO GUMU SANA A SHERIA NA HAKUNA ATAKAEFELI NA UKIFUTA TUNAANDAMANA MPAKA KWA MKEO!!!!!

NINI CHA KUFANYA!!!!!

----WALIPE WALIMU HELA VIZURI USISWENDE HELA ZOTE UKASAHAU UTUNGI WEWE MITIHANI YOTE

----LINGINE JARIBU KUWA KARIBU NA WAFANYAKAZI WAKO HASA WAKATI WA SHIDA UJUE MATATIZO NA KWENDA KUTATUA SI KUADHIBU OVYO

-----JAMBO LA MWISHO WAAMBIE WASIKAZE SANA ITIHANI NDIOO MANA WATU WANATAKA KUTOKA KIMBWETEMBWETE TU...TOA CHUKUA

------JITAHIDI KUHIMIZA WALIMU WASAIDHE MITIHANI YAO PAMOJA NA ASSIGNMENT MAPEMA ...AIWEZEKANIUNAFANYA MTIHANI FEB MAJIBU UNAKUJA PATA JANUARY ...WAKATI JUNE KUNA MITIHANI KAMA UNGALIPATA MATOKEO MAPEMA UNGEWEZA FANYA MASAHAHIHSHO
--------

--------------------TUNAKUTUMAINI KUBADILISA UAMUZI WAKO WA KUFUTA MITIHANI YA SHERIA------------

AHSANTE NA KILA LA KHERI AZRI WA ELIMU MATARAJIWA
 
Lingine Wasimamizi Wajitahidi Kuwa Na Nidhamu Kidogo Kuna Mzee Mmoja Alikuwa Mnoko Sana Na Hata Kuwatoa Watu Simu Ndani Kama Ulisahahu Kuzima Anakuoa Lakin Akifika Katika Unasikia Kapigiwa Simu Hallo Darlingiiiiiiiiii
Uko Wapi We Mzee Kuwa Na Heshima Kama Tunazima Zima Na Wewe Au Wape Vijana Waweke Silent......

Lingine Tunaomba Kuwe Na Utaratibu Mzuri Wasimamizi Wanakuwa Kama Wako Chooni Hakuna Anaetoa Karatasi Za Kuandika Majina Mpaka Tujazane Mbele Wakati Ana Wajibu Huo...karatasi Za Kufanyiamtihani Mpaka Uende Mbele//....
\
Kebho Mbwete !!!!!!jisafiche Baba Muda Upo Epa Bado Kwa Hiyo Sijaona Na Wewe Y Not
 
Ndugu yangu Mwanahalisi, pole sana kwa yaliyowasibu katika Chuo chenu, Open University. Hata hivyo napenda kuchangia hoja yako angalau kwa sentensi chache.

Kuwepo kwa matatizo katika chuo ya kiutawala na hata kitaaluma katika chuo hata siku moja hakuhalalishi makosa ya kutumia nyenzo wakati wa mitihani. Pamoja na ushauri wako mzuri kwa Mkuu wa Chuo, Prof. Mbwete kuchukua hatua ya kurekebisha mambo hapo chuoni, hoja yako kwamba abadilishe uamuzi wa kuufuta mtihani wa sheria ambao ulikuwa umevuja ni hoja ya kitoto na ya kijinga. Mwanataaluma makini hawezi kutoa hoja dhaifu kama hii.
 
Lingine Wasimamizi Wajitahidi Kuwa Na Nidhamu Kidogo Kuna Mzee Mmoja Alikuwa Mnoko Sana Na Hata Kuwatoa Watu Simu Ndani Kama Ulisahahu Kuzima Anakuoa Lakin Akifika Katika Unasikia Kapigiwa Simu Hallo Darlingiiiiiiiiii
Uko Wapi We Mzee Kuwa Na Heshima Kama Tunazima Zima Na Wewe Au Wape Vijana Waweke Silent......

Lingine Tunaomba Kuwe Na Utaratibu Mzuri Wasimamizi Wanakuwa Kama Wako Chooni Hakuna Anaetoa Karatasi Za Kuandika Majina Mpaka Tujazane Mbele Wakati Ana Wajibu Huo...karatasi Za Kufanyiamtihani Mpaka Uende Mbele//....
\
Kebho Mbwete !!!!!!jisafiche Baba Muda Upo Epa Bado Kwa Hiyo Sijaona Na Wewe Y Not

Poleni,
Ni kweli unapokuwa katika level hiyo, au jambo linapokuwa kwako unaona kama ni kubwa mno na kuwa wahusika hawalichukulii maanani. Ninachotaka kusema ni kuwa, mi naona ni swala la kumwandikia barua mkuu huyo na kumweleza kilichotokea, ili achukue hatua zinazofaa. Pili sioni kama ni busara kuhalalisha matumizi ya nyenzo au milungula au kucopy kwa maana nyingine, mko hapo kwa ajili ya kusoma na kujipima kama umeelewa, endapo utatumia hiyo nyenzo si ndio mwanzo wa kutengeza viongozi vihiyo + fisadi?
All in all best of luck.
 
..labda Kwa Taarifa Wengine Tunamalizia Kuweka Tiles Za Chini Kwa Mwalimu Mmoja Wa Somo Gumu Sana A Sheria Na Hakuna Atakaefeli Na Ukifuta Tunaandamana Mpaka Kwa Mkeo!!!!!

sasa Wakuu Nimeelewa Kwa Nini Ufisadi Hauwezi Kuondoka Tanzania Kwa Miaka Mingi Ijayo. Ikiwa Cheating Ni Njia Inayokuwa Glorified Na Wasomi Wetu Na Si Tu Wa Chuo Kimoja Lakini Unaambiwa Wa Mlimani Pia Na Vyuo Vingine. Je Vipi Leo Unatuhumu Mkuu Wa Kaya Au Fisadi Mwingine Yeyote Kuwa Amedanganya Mahali Fulani? Uongo Upi Ni Halali Na Upi Ni Haramu. Huu Ni Unafiki Wa Hali Ya Juu. Tumejaza Watu Wenye Mishahada Kede Kede Lakini Fake. Wametazamia Mitihani. Ndiyo Wakija Katika Field Wanaboronga Wanaishia Kujitetea Na Kulaumu Wengine. Mwana Halisi Huo Pia Ni Ufisadi
 
Hii kitu ingetokea UDSM sijui ingekuwaje, lakini kwa sababu ni OUT hakuna noma noma, tena watu wanacomplain. Haya ndio quality education ya Tanzania.
 
This is a shame! Nimejaribu kurudia ujumbe wa Mwanahalisi, nimeshindwa kupata point ya kumtetea. Amenichanganya sana anapotetea ufisadi katika elimu (mitihani)! Kwa kweli haya mawazo ni ya hatari sana na ya aibu kama ya akina EPA, Richmund na wengine. Shame, shame, shame!!!!!!!!!!!! Soma shule, acha kutafuta mbinu chafu za kufaulu mitihani
 
mi nafikiri mwanahalisi ama hatukumuelwa au sijamuelewa..hakuwa anahalalisha kuiba mituihani amejaribu kutoa hila zinazofanywa kuiba mitihani
swala la kufuta mtihani simtetei mbwete wala mwanahalisi ukiangalia umande mmoja swala si kufuta mtihani jua source,,kwa upande mwingine mbwette kama mwanadiplomasia ana haki ya kufuta kukitokea wizi!!!!!!

swali nani alaumiwe wanafunzi au mkuu wangu wa kaya PRF MBWETTE!!!!

KWANZA NAKUPONGEZA KWA KUKIIMARISHA KILE CHUO MZEE
 
Ndo maana wengi wanaichukulia OUT kama degree za kitoto saaaana.
Kumbe paper zote zilivuja duh hii sasa kali Bongo shule hakuna kabisa.
Mtu yupo Chuo kipicha tu kila kona mpo nae BILICANAS,SINZ,SAMAKI SAMAKI<CORNER,n.k kisha unashangaa hakamatwi kwenye papaer kumbe anatoa kitu kidogo anaonyeshwa paper analibonda kisawa sawa.mmh HApo sasa tutapata wataalamu kweli?
Ndo maana wataalam wetu walio wengi hakuna kitu vichwani mwao kumbe tatizo ni hili hawafuzu mitihani wanabebwa bebwa tu kisha anakula kitengo....KIla mala tunajiuuliza hivi wataalamu gani waliishauri serikali kuingia mkataba mchafu kama huu?sasa hapa tunapata jibu hata hapo UDSM rushwa za ngono zipo sana kila aina.
ELIMU BONGO BADO SANA.
 
Kama chuo kinashindwa kuweka gari la dharura wakati wa mitihani sioni ajabu ya watu kutumia nyenzo. Lakini cha msingi ni kwa mwanafunzi kujua majukumu yako ni kusoma na kujiandaa kwa mitihani. Kughushi kunaonesha ni jinsi gani elimu yetu ilivyo ya kipuuzi. Tunaidhalilisha taaluma kwa kutaka kuonekana tumefanya vizuri na ndiyo maana wengi mnashindwa hata kujieleza kwenye usaili.

Mimi kama mwalimu naweza kuweka paper zote mezani uangalie ila nitajua kama wewe kweli ni mweledi kutoka katika majibu yako. Kuiona paper siyo kufaulu labda na mwalimu mwenyewe awe boga. Mwanafunzi bora ujiandaa vizuri siyo kwa feki!
 
mie naona huyo mbwete hajakosea kitu chochote

Mie nimekuwa nikifundisha hapo open kwa kipindi fulani,kusema kweli elimu imekosa wasomaji,yaani ni vituko vitupu.Kwanza hamna maandalizi ya kutosha kwa wanafunzi,watu wanazima moto,matokeo yake ndo hao wanaotusainia mikataba feki mpaka taifa linaangamia,hawana intergrity hata kidogo.Walio wengi pal hawana msingi mzuri wa elimu wanarukia tu.
Mie naona imefika mda wa kuacha ubabaishaji,hii sio bongo flava kila mtu anajaribu,we need natural certificates not arfificial one.Lazima mtu ukae darasani usome kweli kama umekuja kusoma.Sawa utaibia mtihanio lakini utafika ofisini mambo yatakuwia magumu ndo maana unaona mashirika yetu mengi yanakufa kwa sababu ya ubabaishaji wa elimu zetu,watu wengi wanakuwa waongeaji tu kichwani hamna kitu
Sio lazima watu wote wasome,kazi ni nyingi na mtu unaweza pata maendeleo kama kawaida.
 
Hapa nafikiri suala si masilahi ya walimu suala ni kushuka kwa Elimu, Kamwe mwalimu ambaye alisoma na kufaulu kihalali bila kudesa hawezi kukupa mtihani na majibu, kwanza ni shame. Nashangaa sana Mwanahalisi unavyolalamika kwa kufutiwa mtihani badala ya kufurahia kwani mitihani ijayo ndio itatoa ushindi halali na sio wa mezani, vinginevyo uniambie kuwa wewe ni "KILAZA" na huwezi kufaulu bila kupata mtihani, kwa style hiyo elimu sio fani yako tafuta fani nyingine, kwani si wote wenye uwezo wa kusoma kwa ufanisi elimu ya juu ndio maana kukawepo na suala la "DISCONTINUATION" ili watu kama wewe system iwaterminate mapema kabla hawajaenda kuleta madhara duniani.

Mwalimu aliyevujisha nae anastahili kuwa Discontinued kama ikithibitishwa kuwa ni kweli kafanya hivyo maana isije kuwa mtihani umevujishwa na mtunzaji wa mitihani.

" Knowlegde without application is useless" soma ili utumie elimu yako kwa manufaa ya Taifa na si kwa manufaa yako binafsi. YE WE CAN!!!!
 
Did you know?
  • ...that the Zimbabwe Open University is the largest university in Zimbabwe and the only distance education university in the country?





Effects on the nation
According to Mr Mhlotswa, the Deputy Librarian of the Zimbabwe Open University, the course on agriculture offered by ZOU has contributed significantly to the land reform programme in the country. The industry also praised the university as many of their employees have improved performance after undergoing the ZOU programmes. Graduates from the ZOU are established in almost every sector of the economy of Zimbabwe.


Well, this was then; I don't know how it is like today, but we sure can learn something from others.



.
 
Duh ...kwahiyo enzi za Mbwete degree zilikuwa zinapatikana kibwetebwete? Mbona Prof alijitahidi sana kusimamia quality education? Hasa kuajiri PHDs kibao? Ukitoa UDSM hakuna chuo chenye PHDs kama OUT ....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom