Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Mbowe amegundua udhaifu wenu hatumii nguvu!
Mbowe anaakili sana kiasi kwamba CCM unadanya kila mambo Vijana AS CDM wamchukie.
Pole sana endeleeni kula Muda ukifika mtaacha.
Lakini kiboko ya CCM ni Lissu na Mbowe.Mkisikia Mbowe mnahamisha server zote za vichwa vyenu pamoja na Mwenyekiti wenu.
Na bila kumtaja Mbowe hamuwezi kuishi