misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,641
- 9,337
Historia pia muhimu kwamba sio mtu wakubebwa.Hapa hatuzungumzii historia bali tunaangalia ufanisi. Note that!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Historia pia muhimu kwamba sio mtu wakubebwa.Hapa hatuzungumzii historia bali tunaangalia ufanisi. Note that!!!
Hii ni habari njema kwa kijana wetu...aongeze juhudi huenda macho ya club kubwa zaidi ya hiyo Crystal yakamuona.80% of Crystal Palace fans need Mbwana Samatta at Selhurst Park this month
Sign him up! 80% of polled Palace fans want to sign striker who will surely end Benteke's stay | FootballFanCast.com
Mmmm80% of Crystal Palace fans need Mbwana Samatta at Selhurst Park this month
Sign him up! 80% of polled Palace fans want to sign striker who will surely end Benteke's stay | FootballFanCast.com
Ee bwana hii habari nimeipenda, Samatta kwa sasa yuko vizuri , tumuombee Mungu afanikishe, je kura za mashabiki huwa zina nguvu ya maamuzi?80% of Crystal Palace fans need Mbwana Samatta at Selhurst Park this month
Sign him up! 80% of polled Palace fans want to sign striker who will surely end Benteke's stay | FootballFanCast.com
Yaah!! Mashabiki wana nguvu sana katika maamuzi muhimu ya club.....kama mashabiki wanademand huduma ya Samatta basi uongozi hautasita kumtazama kwa jicho la tatu.Ee bwana hii habari nimeipenda, Samatta kwa sasa yuko vizuri , tumuombee Mungu afanikishe, je kura za mashabiki huwa zina nguvu ya maamuzi?
Hii kauli yako inachekesha, kazi ya striker ni nini? Ulitaka akiwa kwenye nafasi ya kufunga akipewa pasi aanze kuwalamba chenga huku akirudi golini kwakwe? Alafu ageuke aanze kuwalamba chenga tena ndio afunge? Tatizo la shabiki wa netball mkivamia football ndio hili.Ulitaka aokoe? Nilichoongelea hapa ni creativity wala sio scoring Capacity.
Tusifike mbali mkuu...nisamehe!!Hii kauli yako inachekesha, kazi ya striker ni nini? Ulitaka akiwa kwenye nafasi ya kufunga akipewa pasi aanze kuwalamba chenga huku akirudi golini kwakwe? Alafu ageuke aanze kuwalamba chenga tena ndio afunge? Tatizo la shabiki wa netball mkivamia football ndio hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe tukikutupia tu uwanjani unaweza kusongeza hata hatua moja. Samatta wanaomjua ndio wamemsajili na kumlipa mipesa ambayo akikupa za week moja wewe na ukoo wako mnakula mwaka mzima. Saga tu lakini mwenzio yuko mbaliYaani kila anayetoa Football analysis mnamuita Kashasha!!!!
Poa tumekusikia maoni yako tutayafanyia kazi. Turudi kwenye mada husika.Everybody is entitled to his/her opinion. Huyo huo ndio mtizamo wake kuhusu Samatta sasa kosa lake nini?
Watanzania wanajifanya wazalendo sana na uzalendo wenyewe ni wa kinafiki tu ndio maana mpira wetu unachezewa zaidi kwenye "Media".
Nilichogundua mleta mada ameokoka ila bahati mbaya hapa Jf maneno ukishatamka hayarudishiki mdomoni.
Watu tunatofautiana mitazamo mkuu....labda tumezidisha uzalendo hadi kuusema uhalisia hatuwezi.Everybody is entitled to his/her opinion. Huyo huo ndio mtizamo wake kuhusu Samatta sasa kosa lake nini?
Watanzania wanajifanya wazalendo sana na uzalendo wenyewe ni wa kinafiki tu ndio maana mpira wetu unachezewa zaidi kwenye "Media".
Upo Off topic...pole sana!Hivi wewe tukikutupia tu uwanjani unaweza kusongeza hata hatua moja. Samatta wanaomjua ndio wamemsajili na kumlipa mipesa ambayo akikupa za week moja wewe na ukoo wako mnakula mwaka mzima. Saga tu lakini mwenzio yuko mbali
Je,mtazamo wake upo sahihi?Everybody is entitled to his/her opinion. Huyo huo ndio mtizamo wake kuhusu Samatta sasa kosa lake nini?
Watanzania wanajifanya wazalendo sana na uzalendo wenyewe ni wa kinafiki tu ndio maana mpira wetu unachezewa zaidi kwenye "Media".
Kila anapoenda anabahatisha tu? Benzema je? Samata anajua nenda uwanjani uone mambo yake sio unachungulia kwenye vi'clips. Ana confidence, ana dribble na anapiga bao na ndicho kilichompeleka huko. National team pia anapiga baosijadis mkuu...ukisoma uzi vizuri utagundua kuwa niliousema ni ukweli mtupu...labda tatizo lako ni kuwa huangalii mechi za Genk live sansana unaangalia updates na clips kwa akina Shaffii Dauda na Millard Ayo!.... Jaribu kuangalia mechi za KRC Genk utarudi kunipa tawile!