N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Tumewapa heshima viongozi wengi wa nje kwa kuzipa barabara zetu majina yao kwa mfano barabara ya Mwai Kibaki, Barack Obama Kenyatta,nk nk....Lakini huyu kijana ambae angalau kwa siku za hivi karibuni amepunguza aibu ya Tanzania kwenye anga za Soka Kimataifa hatujampa heshima inayostahili...Nashauri Mbwana Samatta apewe heshima kwa barabara mojawapo katika miji yetu muhimu kv Dar,Arusha,Mwanza au Mbeya na Tanga hata Dodoma kupewa jina lake...Binafsi ningeshauri New Bagamoyo Road iitwe SAMATTA ROAD