Mbwana Samatta na App ya SamaPay - Haya ni mapungufu niliyoyaona

Hiyo Mpya kwangu. Una maana akaunti hii wameshaichukua?

https://twitter.com/Samagoal_77
hii ni mpya, hata ukicheki hapo amefungua mwezi uliopita
ile ya kwanza ilikuwa na followers 1mil +
Screenshot_20200914-114936_Instagram.jpg
Screenshot_20200914-115200_Instagram.jpg
 
Habari za humu!!

Kipindi cha siku mbili zilizopita nimeona matangazo na baadhi ya video za youtube zikielezea kuhusu hii app ya SamaPay ambayo imeanzishwa na mchezaji wa mpira wa miguu Mbwana Ali Samatta.



Kwanza ningependa kutoa hongera kwa uamuzi wake huo wa kufikiria na kufanya kitu ambacho kidogo kipo utofauti na jambo lililomletea umaarufu (mpira).

Mimi pia ni android App Developer ila huwa na fanya kama hobby. Haya chini ni baadhi ya mapungufu ambayo nimeyaona kwenye app hiyo na mengine ni mawazo yangu.

Mara nyingi kabla sijadownlaoad app yoyote huwa naangalia reviews pia nikiona kama app ina stars less than 4.0 mara nyingi huwa siidownload. Lakini app hii (samapay ) imekua rated na watu 9 tu (mpaka mda huu naandika hii post). Na katika hao tisa wametoa reviewes mbaya mpaka kupelekea app ikawa na 2.3 stars (mpaka mda naadika hii post).

Pia nikikuta app ambayo imekuadeveloped au imeanzishwa na Mtanzania huwa lazima niipakue ili kuunga mkono na pia kuona Watz tunafanya nini. Twende moja kwa moja kwenye mawazo yangu kuhusu SamaPay.

App sio 'user friendly' kwa upande Phone number. Jambo hili ndio limepelekea mpaka baadhi ya watu kushindwa ku-sign up (according to reviews) pamoja na mimi pia nimeshindwa. Developer angeweka tu simple sign up ya phone number kama kwenye names.


Kwenye phone number haijulikani mtu aanze na 255714***** au 0714******. Ingawa nilijaribu kwa options zote pia imeshindikana ku-sign up.

Yaani pia hata ukiweka '111' inasema tu 'verification code sent ...' bila hata kuangalia kama phone number ipo sahihi au lah. Nimeandika 111 phone kisha verification code '123456' inasema verification has been confirmed ila imeshindikana kuendelea mbele.

Pia mtu akijaza kila kitu alafu akabofya 'Verification' inasema tu 'agreement' kidogo ingeatoa maelezo kwamba may be 'You have to agree on terms of service and privacy above' ili moja kwa moja mtu ajue nini cha kufanya.

Hizo terms of service na privancy zipo kwa lugha ya Kikorea. Nikazifanyia mpango nizi translate into English nikakuta ni Terms na privacy policy za KSnet Co. Ltd (nahisi huyu atakua ndio developer) na sio terms na privacy za SamaPay.

Data ikiwa off halafu ukaingia kwenye app inakuletea vitu ambayo sio vzuri kwa mtumiaji kuviona.

Huyo developer naweza sema amefanya kitu ambacho ni very beginner in apps development. Mimi pia nishawahi kutumia 'Webview' katika baadhi ya app nilizotengeneza. Data ikiwa off haikutakiwa kuletewa kitu kama hicho (angali picha juu ) kwa mtumiaji kama ilikua haina jinsi kwa developer kutumia webview (kuingiza page ya website kwenye android app). Labda sababu hakutaka kuunganisha firebase database which is a very best option (kwangu mimi) na kuachana na webview kwa upande wa siging up.



Halafu kwangu sio kitu kizuri kwa developer kukupa sub-domain (samapay.kspoint.co.kr/). Kwa kiasi cha chini ya 200,000 (laki mbili) ungeweza kupata domain nzuri kwa ajili ya project ya samapay mfano samapaytz.com, samapayafrica.com, au pia ungechukua samapay.com (jina hili nimelicheki ili kulipata kidogo ni ghali may be milioni 2).

Nyongeza 1. Kabla ku-lunch app ni kuhakikisha inatestiwa kwenye android version zote ambazo developer alikubali. Nikiongea Ki- Android App development ni kuwa kama minimum sdk aliweka android 5.0 (Lolipop) basi app itestiwe kwenye devices tofauti kuanzia android 5, 6, 7, 8, 9 ,10 ,11 na 12 (kama imetoka). Ingawa kwa upande wangu 9 mpaka 11 hazisumbuagi ila 8 na 6 zinazingua sometimes.

Nyongeza 2. Iyo atcivity ya sign up kipindi inaload bas hata angeweka kitu kuonyesha app inload kitu sio unaona white blank.

Nyongeza 3. Baadhi ya makosa ya developers wengi kipindi wanadevelop app na kui-test, huwa wantest kama developer na sio kama mtumiaji. Just try all scenarios kama mtumiaji.


Sijaweza kuifanyia review zaidi sababu nimeshindwa ku-sign up na kuingia ndani zaidi sabab kila mda inaleta sign up.

Ni hayo tu.
Tatizo unakuja Samatta mwenyewe hakuwa na interest, kaambiwa tu.

So hajui hata kitu kinaanzia watu na kinaishia wapi.

Sema umefanya honest review kiasi kwamba ulutakiwa ulipwe.
 
Alichotakiwa kukifanya samata ni hiki hapa

1) Angetafuta office space pale London

2) Angetafuta engineers wa maana wa pale london maana London ni best kwa fintech na zipo startup nyingi sana pale, kwa hadhi yake Angetafuta watu Watano ambao ni programmers wazuri kwa ajili kuifanya App ya yake iwe bora

3) Bongo angetafuta marketing team kwa ajili ya kufanya B2B yaani businesses kwa ajili ya ku integrate sama pays na biashara zao, lakini pia B2C kwa ajili ya watu kutumia app hiyo kwenye malipo

4) halafu sasa ange rise funds sasa ambapo ni rahisi kwake since ni well known na app ingefanya vizuri sokoni


Anyways hainihusu
 
Habari za humu!!

Kipindi cha siku mbili zilizopita nimeona matangazo na baadhi ya video za youtube zikielezea kuhusu hii app ya SamaPay ambayo imeanzishwa na mchezaji wa mpira wa miguu Mbwana Ali Samatta.



Kwanza ningependa kutoa hongera kwa uamuzi wake huo wa kufikiria na kufanya kitu ambacho kidogo kipo utofauti na jambo lililomletea umaarufu (mpira).

Mimi pia ni android App Developer ila huwa na fanya kama hobby. Haya chini ni baadhi ya mapungufu ambayo nimeyaona kwenye app hiyo na mengine ni mawazo yangu.

Mara nyingi kabla sijadownlaoad app yoyote huwa naangalia reviews pia nikiona kama app ina stars less than 4.0 mara nyingi huwa siidownload. Lakini app hii (samapay ) imekua rated na watu 9 tu (mpaka mda huu naandika hii post). Na katika hao tisa wametoa reviewes mbaya mpaka kupelekea app ikawa na 2.3 stars (mpaka mda naadika hii post).

Pia nikikuta app ambayo imekuadeveloped au imeanzishwa na Mtanzania huwa lazima niipakue ili kuunga mkono na pia kuona Watz tunafanya nini. Twende moja kwa moja kwenye mawazo yangu kuhusu SamaPay.

App sio 'user friendly' kwa upande Phone number. Jambo hili ndio limepelekea mpaka baadhi ya watu kushindwa ku-sign up (according to reviews) pamoja na mimi pia nimeshindwa. Developer angeweka tu simple sign up ya phone number kama kwenye names.


Kwenye phone number haijulikani mtu aanze na 255714***** au 0714******. Ingawa nilijaribu kwa options zote pia imeshindikana ku-sign up.

Yaani pia hata ukiweka '111' inasema tu 'verification code sent ...' bila hata kuangalia kama phone number ipo sahihi au lah. Nimeandika 111 phone kisha verification code '123456' inasema verification has been confirmed ila imeshindikana kuendelea mbele.

Pia mtu akijaza kila kitu alafu akabofya 'Verification' inasema tu 'agreement' kidogo ingeatoa maelezo kwamba may be 'You have to agree on terms of service and privacy above' ili moja kwa moja mtu ajue nini cha kufanya.

Hizo terms of service na privancy zipo kwa lugha ya Kikorea. Nikazifanyia mpango nizi translate into English nikakuta ni Terms na privacy policy za KSnet Co. Ltd (nahisi huyu atakua ndio developer) na sio terms na privacy za SamaPay.

Data ikiwa off halafu ukaingia kwenye app inakuletea vitu ambayo sio vzuri kwa mtumiaji kuviona.

Huyo developer naweza sema amefanya kitu ambacho ni very beginner in apps development. Mimi pia nishawahi kutumia 'Webview' katika baadhi ya app nilizotengeneza. Data ikiwa off haikutakiwa kuletewa kitu kama hicho (angali picha juu ) kwa mtumiaji kama ilikua haina jinsi kwa developer kutumia webview (kuingiza page ya website kwenye android app). Labda sababu hakutaka kuunganisha firebase database which is a very best option (kwangu mimi) na kuachana na webview kwa upande wa siging up.



Halafu kwangu sio kitu kizuri kwa developer kukupa sub-domain (samapay.kspoint.co.kr/). Kwa kiasi cha chini ya 200,000 (laki mbili) ungeweza kupata domain nzuri kwa ajili ya project ya samapay mfano samapaytz.com, samapayafrica.com, au pia ungechukua samapay.com (jina hili nimelicheki ili kulipata kidogo ni ghali may be milioni 2).

Nyongeza 1. Kabla ku-lunch app ni kuhakikisha inatestiwa kwenye android version zote ambazo developer alikubali. Nikiongea Ki- Android App development ni kuwa kama minimum sdk aliweka android 5.0 (Lolipop) basi app itestiwe kwenye devices tofauti kuanzia android 5, 6, 7, 8, 9 ,10 ,11 na 12 (kama imetoka). Ingawa kwa upande wangu 9 mpaka 11 hazisumbuagi ila 8 na 6 zinazingua sometimes.

Nyongeza 2. Iyo atcivity ya sign up kipindi inaload bas hata angeweka kitu kuonyesha app inload kitu sio unaona white blank.

Nyongeza 3. Baadhi ya makosa ya developers wengi kipindi wanadevelop app na kui-test, huwa wantest kama developer na sio kama mtumiaji. Just try all scenarios kama mtumiaji.


Sijaweza kuifanyia review zaidi sababu nimeshindwa ku-sign up na kuingia ndani zaidi sabab kila mda inaleta sign up.

Ni hayo tu.


Mawazo mazuri
 
Back
Top Bottom