NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,423
- 2,414
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta usiku wa October 10 2019 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Naima Omary, Samatta alifunga ndoa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wake wachache wa karibu.
Naima na Samatta kabla ya kufunga ndoa walibahatika kupata watoto wawili wa kiume ambaye ni mkubwa na anajulikana kwa jina la Karim na mtoto wa kike, hata hivyo kwa upande wa wachezaji ndoa hiyo ilihudhuriwa na Thomas Ulimwengu, Himid Mao na Faraj Kabaly.
Tunawatakia kila la heri katika ndoa yenu.
Naima na Samatta kabla ya kufunga ndoa walibahatika kupata watoto wawili wa kiume ambaye ni mkubwa na anajulikana kwa jina la Karim na mtoto wa kike, hata hivyo kwa upande wa wachezaji ndoa hiyo ilihudhuriwa na Thomas Ulimwengu, Himid Mao na Faraj Kabaly.
Tunawatakia kila la heri katika ndoa yenu.