Mbwana Samatta Afunga Ndoa na Naima Omary. Tunawatakia Kila la Heri Katika Ndoa Yenu. Hongereni Sana.

NDUKI

JF-Expert Member
Jan 19, 2013
3,423
2,414
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta usiku wa October 10 2019 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Naima Omary, Samatta alifunga ndoa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wake wachache wa karibu.

Naima na Samatta kabla ya kufunga ndoa walibahatika kupata watoto wawili wa kiume ambaye ni mkubwa na anajulikana kwa jina la Karim na mtoto wa kike, hata hivyo kwa upande wa wachezaji ndoa hiyo ilihudhuriwa na Thomas Ulimwengu, Himid Mao na Faraj Kabaly.

Tunawatakia kila la heri katika ndoa yenu.

WhatsApp-Image-2019-10-11-at-15.08.281.jpeg
WhatsApp-Image-2019-10-11-at-15.08.283.jpeg
WhatsApp-Image-2019-10-11-at-15.08.282.jpeg
WhatsApp-Image-2019-10-11-at-15.08.284.jpeg
WhatsApp-Image-2019-10-11-at-15.08.28.jpeg


 
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta usiku wa October 10 2019 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Naima Omary, Samatta alifunga ndoa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wake wachache wa karibu.

Naima na Samatta kabla ya kufunga ndoa walibahatika kupata watoto wawili wa kiume ambaye ni mkubwa na anajulikana kwa jina la Karim na mtoto wa kike, hata hivyo kwa upande wa wachezaji ndoa hiyo ilihudhuriwa na Thomas Ulimwengu, Himid Mao na Faraj Kabaly.

Tunawatakia kila la heri katika ndoa yenu.

View attachment 1229766View attachment 1229767View attachment 1229768View attachment 1229769View attachment 1229770


SAFI SANA; BILA MAKELELE MENGI KAMA WENGINE. TUNAWATAKIA HERI
 
Kaoa kibingwa sana huyu mwambwa....nimeipenda sana hii style yake ya kuoa.
Uko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.
 
Shukran mkuu ni kwel ndoa zetu wengi hazina mambo mengi kama zenu japo baadhi yetu wanapenda kuiga kwenu.
Uko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.
 
Back
Top Bottom