ngapi ngapi huko injiniaaa
Mbwana, kumbuka wewe upo huko kuwafungulia njia vijana wengine wengi zaidi. Sisi tunakuombea Mungu azidi kukufungulia njia mkuu
Kabisa kakaHili la kuwafungulia milango wengine ni jukumu kubwa mno! Kila la kheri
😞😞😞😞😞😞
Haya sio mawazo ya kiuanamichezo. Ni ya kiubinafsi zaidi. Nani kakwambia Samatta ndio kawekwa kuwa mfungaji pekee wa timu? Pale nafasi inaporuhusu mbona anapewa tu? Tuache kulalamika ovyo kwa kuwa tu ni Mtanzania mwenzetu.
Haya sio mawazo ya kiuanamichezo. Ni ya kiubinafsi zaidi. Nani kakwambia Samatta ndio kawekwa kuwa mfungaji pekee wa timu? Pale nafasi inaporuhusu mbona anapewa tu? Tuache kulalamika ovyo kwa kuwa tu ni Mtanzania mwenzet
Kwa lugha za kihuni zinavyotumiwa na wabongo kwenye twitter ya Aston Villa, sioni hili likiwezekana.Hili la kuwafungulia milango wengine ni jukumu kubwa mno! Kila la kheri
Wewe umeshauri vizuri. Ningefurahi na vijana wengine wangeelewa hivi hivi na si kulalamika eti Samatta hapewi mipira.Asante Sammata unawakilisha nchi vema, ushauri wangu, league ya England ni ngumu, unatakiwa kucheza total football, yani kukaba na pia kufunga. Watanzania wote tupo nyuma yako.