MBWAGA UNIvERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE

Lugano5

R I P
Jul 15, 2010
4,520
755
Ni chuo kipya na bora kabisa,kinachotoa digrii ya (i)medicine (ii)nursing....,location:maswa-simiyu kama unaelekea lalago..!wahi sasa.nafasi ni chache,vigezo:kama wewe ni form iv uwe na A/B-kwa phys,chemia na biology,pia usiwe pungufu ya crdt tano...na utasoma 7yrs kwa md na 5 yrs kwa nursing.
 
Kwa mf. Mtu ana PHYS-C
, CHEM-B,
BIOS-C,
MATH-B,
ENGL-C,
HIST-B,
KISW-C,
GEO-C,
CIV-B
kwa A'level results
CHEM-E
BIOS-E
GEO-D
BAM-S
GS-F
JE Mtu kama huyu anasifa ya kusoma hiyo degree ya md or nursng kwa miaka mingapi? Tusaidie
 
Kwa mf. Mtu ana PHYS-C
, CHEM-B,
BIOS-C,
MATH-B,
ENGL-C,
HIST-B,
KISW-C,
GEO-C,
CIV-B
kwa A'level results
CHEM-E
BIOS-E
GEO-D
BAM-S
GS-F
JE Mtu kama huyu anasifa ya kusoma hiyo degree ya md or nursng kwa miaka mingapi? Tusaidie

huyu itakuwa mitatu tu MD anayo!
 
Mie nilisoma masomo ya art olevo na a level nimesoma HGK vipi hamna pre coarse kwa watu walisoma art?

Kwa hisani ya maadui wa watatu,ujinga+maradhi na umasikini

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mie nilisoma masomo ya art olevo na a level nimesoma HGK vipi hamna pre coarse kwa watu walisoma art?

Kwa hisani ya maadui wa watatu,ujinga+maradhi na umasikini

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

hiki chuo ni cha afya tu.
 
Mmhhh acha kudanganya watu..bachelor course zoote zinaombewa tcu.siku hizi.na muda wa kuapply mpk mwakaniiii.....halafu we unasema unasoma bugando hiyo mbwaga ndo unafundishia tuisheni ama
 
Mmhhh acha kudanganya watu..bachelor course zoote zinaombewa tcu.siku hizi.na muda wa kuapply mpk mwakaniiii.....halafu we unasema unasoma bugando hiyo mbwaga ndo unafundishia tuisheni ama

bwana mie natoa taarifa ambayo ipo proved....
 
Hakuna kitu kama hicho. Huyu mtoto lugano5 wamefunga UDOM, ndio karudi tena. Dogo waijua Medicine wewe? Au wadhani ndio ile ya UDOM?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom