Je mabwana mifugo wanasemaje kuhusu mabadiliko ya huyo kiumbe?Namfahamu yule jamaa ila makazi yangu yapo mkoani.
amtaftie tiba sio kumuuaKwa hiyo unamaanisha ampandishe ndege?
Huo msemo hapo mwisho hauna mashiko.Kwenye bible Kuna amri katika amri kumi inasema "usiue" kwa kukuongezea ufahamu "he who kills with a machete dies with a machete
Sijaelewa mbwa mapacha. Kawaida mbwa huzaa vitoto vingi, au una maana uliwatoa kwa mama mmoja ?Dalili za mbwa mwenye rebies
1.anakua mkali pasipo sabab
2.anapungua/anakonda
3.akibweka anatokwa mapovu
Ukiona dalil hzo ujue tayar...
Mbwa wangu alipataga hiz dalil..mim binafsi nilishindwa muua..manaa ni mbwa wangu walikua mapacha.wazur sana...niliendaga mtokomeza msitu wa makongo kule...roho yangu ilishindwa muua
Bima ya afya shida, sembuse kwa mbwa? Au mwenzetu upo uchumi wa kati?Maskini, mbwa/paka wa Afrika hajawahi kupata stahiki zake kama ipasavyo.
Mbwa na paka (Pets) wa Ulaya wanaishi kwa kuthaminiwa mnooo hadi hujipumzisha kwenye kitanda cha bosi wao.
Ni kawaida mbwa kukaa siti ya mbele ya gari pamoja na bosi wake akishangalia mandhari ya nje (barabarani) kupitia kioo cha mbele cha gari.
Ktk matembezi, huku mbwa akiwa kafungwa ukamba maalumu mororo madhubuti ambao uko free kuvutika (kuongezeka urefu, sio mnyororo) ili kumpa uhuru mbwa, mbwa akiwa ananusa kitu fulani kwenye ardhi au majani bosi wake hamkokoti (kumlazimisha kuondoka) bali huwa akisimama kwa muda akimpa nafasi mbwa afanye analohitaji kufanya (mbwa atimize utashi wake). Mpaka mbwa anaporidhika ndio bosi huendelea na safari yake. Na mbwa aweza fanya hivyo mara kadhaa na wala bosi hakasiriki.
Mbwa ana msosi maalumu wa nguvu, sio mafupa fupa na dona.
Mbwa na paka wana madaktari na afya zao zafatiliwa.
Paka akipotea, mzungu anabandika matangazo kutoa taarifa atakae muona paka huyo awasiliane nae (bosi huyo) kwa simu (namba zake katia kwenye tangazo).
Sasa huku kwetu (Afrika) mbali ya kutompatia stahiki mbwa kama inavyotakikana kufanyiwa wanyama jamii ya Pets, tunapanga hujuma ya kumtandika risasi.
Pole sana mbwa kwa kuzaliwa aubkuishi Afrika.
Kwa nini unamini hawapo labda?Roho mbaya inakusumbua umuue ili iweje?
Hafu nyie wenye nyumba kukaa na wapangaji huwa mna gubu Sana.
Huyo mbwa Hana shida ana tatizo la kisaikolojia inatakiwa umtaftie mtaalamu na huku. Bongo sidhani Kama wapo
Shida yangu pia nasafiri safiri anaweza kunifanya kama kingunge ngukisafiri
Hajatafuna majani ya bange kweli? Huwa wanarandukaga balaa wakila mmeaNaomba ushauri mbwa wangu anakuwa mkali bila sababu anabwekea wapangaji nahisi nitapata kesi kwa ukali wake nyumba yangu haijawahi kuibiwa ila Sasa ukali wake ni too much.
Nimempiga zile sindano tatu wapi bado hakomi (ant rabis) nyumba yangu ni kubwa inawapangaji wengi naogopa siku akikata mnyororo atakula watoto wawatu.
Anachoniudhi Sasa ananibwekea hata Mimi hii inanipandisha hasira mbaya zaidi nasikia mbwa Hali sumu hivyo napanga kumchapa chuma.
Naomba ushauri.
Superbug.
Sijaelewa hapo?Kwa nini unamini hawapo labda?
Watakufanya kama walivyomfanya Kingunge.Naomba ushauri mbwa wangu anakuwa mkali bila sababu anabwekea wapangaji nahisi nitapata kesi kwa ukali wake nyumba yangu haijawahi kuibiwa ila Sasa ukali wake ni too much.
Nimempiga zile sindano tatu wapi bado hakomi (ant rabis) nyumba yangu ni kubwa inawapangaji wengi naogopa siku akikata mnyororo atakula watoto wawatu.
Anachoniudhi Sasa ananibwekea hata Mimi hii inanipandisha hasira mbaya zaidi nasikia mbwa Hali sumu hivyo napanga kumchapa chuma.
Naomba ushauri.
Superbug.