Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,110
- 3,269
Hii mbinu ya kushika kengele a.k.a pu..u kama ni kweli ikifinyika mbwa hawezi hata kubweka,basi hatuna imani tena mbwa kwenye ulinzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mbinu ya kushika kengele a.k.a pu..u kama ni kweli ikifinyika mbwa hawezi hata kubweka,basi hatuna imani tena mbwa kwenye ulinzi.
Mkuu unaweza kutuwekea japo kapicha Jinsi Mzee alivyokua akibinya Mbupu na Mbwa wakapiga kimya??Hii mbinu ya kushika kengele a.k.a pu..u kama ni kweli ikifinyika mbwa hawezi hata kubweka,basi hatuna imani tena mbwa kwenye ulinzi.
Hahahaha! Hii sio ya kufanyia majaribio hata kidogo. Hapo kuhusu wanawake inabidi waandishi warudi tena wamuulize.Inabidi kwanza niwasiliane na watu wa Myth Busters kabla sijajaribu, maana naweza nikafanya mbwa wawe interested zaidi kukichukua kile nilichoshikilia watakaponishambulia!
Swali la uchokozi - wanawake wao wanapaswa kushika nini ili wasishambuliwe na mbwa?
Jamaa anachekesha sana aisee. Natamani ianzishwe kampeni ya kumchangia.vichechesho
Hahahaha! Jamaa anaweza kukuingiza kingi hivihivi.Wewe acha tajiri mtata aka Billionea maarufu wa muda Dk Louis Shika akuingize cha kike uparamie mageti ya watu mazee ya Whuuuu! Whuuu! Yakutoe nduki wewe ukazane kubinya kengele huku wanakutafuna tu
Kwa hiyo jamaa ametuingiza kingi.Je mademu wanashika nini? mzee ametupiga fiksi tu. Ninachojua wanyama kama ukionyesha confidence mbele yao uwa wanagwaya ukiogopa ndio wanakuwa na jeuri ya kuku attack. Hata simba ukikaza wanakuogopa ndio maana unaona machizi wanakatiza Mikumi kila siku sasa ukienda wewe ukitishwa unatoka ushuzi na kuanza kukimbia unamalizwa ndani ya dk tu
Ngoja niitafute kwenye maktaba yangu.Mkuu unaweza kutuwekea japo kapicha Jinsi Mzee alivyokua akibinya Mbupu na Mbwa wakapiga kimya??
ndio maana yakeKwa hiyo jamaa ametuingiza kingi.